• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WALENGWA WA TASAF WAHAMASISHWA KUHAMIA MFUMO WA KIDIJITALI

Posted on: February 14th, 2023

Walengwa wa mpango wa kunusuru kaya masikini TASAF wamehamasishwa kuhamia katika mfumo wa kidigitali ili kurahisisha utaratibu wa malipo na kupunguza gharama za zoezi la uhawilishaji fedha na upotevu wa muda


Rai hiyo imetolewa na mratibu wa mpango wa kunusuru kaya masikini TASAF  wilaya ya Ilemela Bwana Leonard Robert wakati akizungumza na walengwa na wasimamizi wa ngazi ya jamii kutoka kata ya Buswelu ambapo amewaasa wanufaika kuhakikisha wanatumia njia za benki na mawakala huku akisisitiza wasimamizi wa ngazi ya jamii kuwaelimisha walengwa juu ya faida za kutumia mifumo ya kidijitali


‘.. Ukitumia mfumo wa kidijitali fedha yako itatoka TASAF makao makuu moja kwa moja, Wenyeviti pia mtusaidie kutoa elimu kwa wananchi maana wakati mwingine wanaanzia huko kwenu kwenye mitaa ..’ Alisema

Aidha Leonard amewataka walengwa kuvumilia changamoto chache za kimtandao zinapojitokeza na kusisitiza kuwa fedha zao ziko salama na hakuna itakayopotea kutokana na changamoto hizo

Kwa upande wake mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Bulola ‘B’ Bwana Joseph Bogohe Masunga ameshauri zoezi la ulipaji wa kielektroniki kupitia benki, fedha za wanufaika ziwe zinatangulia katika akaunti za walengwa kabla ya kusaini karatasi za malipo ili kuepusha usumbufu kwa wanufaika kwenda benki na kukuta fedha bado haijaingia kwenye akaunti


Moja ya mjumbe wa kamati ya usimamizi ya jamii Bi Agnes Raymond Komba kutoka mtaa wa Bulola ‘B’ amewaasa walengwa kuhakikisha wanatekeleza matakwa ya mpango ikiwemo kina mama wajawazito  na watoto wadogo kuhudhuria kliniki  na wanafunzi kuhudhuria masomo ili mpango huo uweze kuwa na tija na manufaa kwao



Jumla ya kiasi cha shilingi Milioni 277.59 kimehawilishwa kwa kaya 5682 ndani ya wilaya ya Ilemela katika mitaa yake yote inayonufaika na mpango ambapo  kaya 1097 zikilipwa fedha taslimu mkononi kiasi cha shilingi milioni 49.52, kaya 4567 zikilipwa kiasi cha shilingi milioni 226.80 kwa njia ya benki na kwa njia ya simu kaya 18 zikilipwa kiasi cha shilingi milioni 1. 26 kwa njia ya wakala.


Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.