• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WALENGWA TASAF WAASWA MATUMIZI BORA YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

Posted on: December 31st, 2024

Katika kutekeleza shughuli za mpango wa kunusuru kaya maskini TASAF inaunga mkono juhudi za serikali katika kutekeleza mkakati wa taifa unaolenga matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa wananchi wake ikiwa ni sehemu ya kukabiliana na ongezeko la uharibifu wa mazingira pamoja na athari za kiafya ,kiuchumi na kijamii zinazotokana na matumizi ya nishati isiyo safi kupikia.

Akizungumza wakati akitoa elimu kwa walengwa wa kata ya Kahama kutoka mitaa mitatu ya Magaka ,Kahama na Kadinda ambako kiasi cha shilingi 2,360,000 kimetolewa kwa kaya 103 mwakilishi wa TASAF ndugu Clavery Kazilo amesema “..ni  jukumu la walengwa kubuni miradi ya nishati safi ya kupikia ngazi ya kaya kwa kuzingatia usalama wa nishati yenyewe sambamba na ubora wake,mkaa unaotokana na taka,umeme unaotokana na samadi ,msining’unike kuona ninyi ni wa tofauti sana na watu wengine bado mna nafasi ya kuwaza vizuri na kuja na kitu chenye manufaa kwenu na jamii nzima kwa ujumla..”

Nae mwenyekiti wa mtaa wa Magaka James Zabron amepongeza mpango wa TASAF kwa namna unavyofanya kazi kwa kusaidia wananchi wa mtaa wake kupeleka watoto shule na hospitalini kupata huduma za afya na kuendelea kukuza uelewa wao kwa namna mbalimbali zinazowawezesha kujikimu kimaisha huku akibainisha changamoto ya makato kupitia mifumo ya kieletroniki ambapo pesa za walengwa zinapitia.

“..serikali naomba ione namna bora ya kuondoa makato kwa walengwa kule wanakopitishia pesa zao kama ni kwenye simu au akaunti za benki ,baadhi ya walengwa hawataki kupokea fedha zao wakihisi wanaibiwa..” amesema mwenyekiti wa mtaa wa Magaka

Jumla ya kiasi cha shilingi milioni 128,712,968  zimetolewa kwa kaya 3,444 za walengwa wa TASAF ndani ya Manispaa ya Ilemela ambapo kaya 40 zinalipwa keshi kiasi cha shilingi 748,000 na kaya 3404 zinaendelea kulipwa kiasi cha shilingi 127,964,968 kwa njia ya simu na kupitia akaunti za walengwa wenye akaunti benki.

 

Announcements

  • TANGAZO LA KAZI NAFASI YA UDEREVA DARAJA LA II June 04, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • KAMPENI YA KITAIFA YA UTOAJI WA MATONE YA VITAMI A YAFIKIA ASILIMIA 98.7

    June 26, 2025
  • WENZA WA VIONGOZI WATEMBELEA SEKONDARI YA IGOGWE WAPONGEZA JUHUDI ZA SERIKALI

    June 26, 2025
  • DAWATI LA HUDUMA ZA USTAWI WA JAMII KUENDELEA KUIMARISHA UTOAJI WA HUDUMA STENDI YA MABASI NYAMHONGOLO

    June 26, 2025
  • ILEMELA YAPONGEZWA KUPATA HATI SAFI, WITO WATOLEWA KUTOZALISHA HOJA MPYA ZA UKAGUZI

    June 17, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.