• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WAKAZI WA KIRUMBA WANUFAIKA NA ELIMU YA AFYA MAADHIMISHO YA WIKI YA LISHE

Posted on: October 24th, 2024

Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela kupitia divisheni ya afya , ustawi wa jamii na lishe inaadhimisha wiki ya lishe kitaifa kuanzia Oktoba 24 hadi 30, 2024 ikiwa na lengo la kuendelea kutoa elimu ya lishe kwa jamii sambamba na kufuata mtindo bora wa maisha.

Akizungumza wakati akitoa elimu hiyo kwa wakazi wa mtaa wa Mlimani B uliopo kata ya Kirumba Afisa lishe wa Manispaa hiyo Bi.Pili Khasim amewaeleza wakazi hao kuwa wanaweza kufanya kilimo cha mboga mboga na matunda kwa kutumia vitu mbalimbali vinavyoweza kuhifadhi udongo kama vile mifuko, matairi mabovu au kutengeneza bustani ndogo kulingana na ukubwa wa eneo na kupanda kwa mpangilio mzuri.

"...ni muhimu watu wote kupata lishe bora kwa kuzingatia makundi sita ya vyakula,eneo lako dogo linaweza kuwa na tija kubwa ikiwemo na kukupunguzia gharama kubwa za kununua mboga kila siku..." amesema Bi.Pili

Pauline Machango ni Afisa lishe amewataka wananchi hao kuhakikisha wanafuatilia afya zao kwa kula mlo kamili wenye virutubisho vyote kwa viwango sahihi.

Ameongeza kuwa maradhi mengi yanaweza kuepukwa kwa kula vizuri na kufanya mazoezi na kuachana na mitindo ya maisha isiyofaa kama vile kuacha unywaji pombe uliokithiri na uvutaji wa sigara.

Aidha Bi.Pili amewakumbusha kina mama kuzingatia ulaji mzuri ndani ya siku 1000 muhimu kuanzia mimba inapotungwa mpaka mtoto anapotimiza miaka miwili huku akikitaja kipindi hicho kuwa muhimu zaidi katika makuzi ya viungo vyote vya mwili wa mtoto sambamba na akili yake.

Nae mratibu msaidizi wa chanjo Ramadhan Himay ameeleza umuhimu wa chanjo mbalimbali ikiwemo chanjo ya korona, saratani ya mlango wa kizazi,polio na chanjo mbalimbali za watoto kuanzia wanapozaliwa na kuwataka wananchi kujiepusha na imani potovu juu ya chanjo hizo.

"...Baadhi yenu mnasema chanjo zinaua nguvu za kiume,zinasababisha watoto wa kike kukosa watoto sio kweli chanjo hizi zimethibitishwa na wizara ya afya kuwa ni salama ..."

Eliada Masinde ni mtoa huduma za afya ngazi ya jamii katika mtaa wa Mlimani B yeye anajivunia kuwa mmoja wa mabalozi wazuri wa masuala mbalimbali ya afya huku akiwasihi wananchi wenzake kujipenda na kufuatilia afya zao katika vituo vya afya na sio kusubiri kuumwa.

Maadhimisho hayo yamepambwa na kauli mbiu isemayo " mchongo ni afya yako zingatia unachokula."








Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.