• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WAGANGA WA TIBA ASILI NA MBADALA WATAKIWA KUWALINDA WENYE ULEMAVU WA NGOZI

Posted on: June 28th, 2024

Waganga wa tiba asili na mbadala ndani ya Manispaa ya Ilemela wametakiwa kuwalinda watu wenye ulemavu wa ngozi na kuwafichua matapeli na waovu  wanaojifanya waganga wa kienyeji na kusababisha mauaji


Rai hiyo imetolewa na mratibu wa tiba asili na tiba mbadala wa manispaa ya Ilemela  Bi Lilian Davis Chiguma wakati wa kikao kazi cha kujengeana uwezo na kubadilishana uzoefu baina ya waganga wa kienyeji na wataalam wa afya wa manispaa ya Ilemela


Bi Chiguma ameongeza kusema kuwa Serikali itawachukulia hatua kali za kisheria waganga wanaopiga ramli chonganishi na tiba potofu zinazochochea mauaji na kusababisha vifo kwa watu wenye ulemavu wa ngozi maarufu albino

“Hakuna aliyependa kuwa albino hii imetokana na sababu za kiuumbaji za Mungu, Sasa ikitokea ukashawishika au ukashiriki katika kupanga au kushiriki mauaji yao Serikali haitakuacha salama hatua kali zitachukuliwa dhidi yako”, Alisema


Aidha Bi Chiguma akawataka waganga hao kujisajili na kufuata maadili ya tiba mbadala huku akisisitiza kuwa waganga kazi yao ni kutibu na sio kuuwa


Neema Kavishe ni afisa ustawi wa jamii anaeratibu kitengo cha watu wenye ulemavu na wazee  amewataka waganga wa manispaa ya Ilemela kuhakikisha wanakuwa mabalozi wa kupinga  vitendo vya kikatili dhidi ya albino pamoja na kuwafichua watu wote wenye imani potofu ya kuamini kuwa kuuwa albino na kuchukua viungo vyake ni njia rahisi ya kujipatia utajiri

Kwa upande wake Mganga wa tiba asilia kutoka kata ya Buswelu Ndugu Stephano Joachim Lusana amewataka waganga wenzake kushirikiana na Serikali kupiga vita mauaji ya albino kwani vitendo hivyo vikiendelea vitatia doa waganga wengine wasiohusika pamoja na kushindwa kuendelea na utoaji wa huduma za kila siku kutokana na makatazo yanayoweza kutolewa na Serikali


Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.