• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WAFANYABIASHARA ILEMELA WAPATIWA ELIMU YA BIASHARA

Posted on: November 9th, 2022

Wafanyabiashara katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela wametakiwa kuwa na leseni za Biashara ili waweze kufanya biashara zao kwa amani pamoja na kujiepusha na mianya ya rushwa.


Hayo yamesemwa na Bi Milembe Barnabas ambae ni Afisa Uchunguzi kutoka TAKUKURU wakati wa kikao cha elimu kwa umma kilichowahusisha wafanyabiashara pamoja na wataalam wa Manispaa ya Ilemela.



“Tuko hapa kutekeleza jukumu letu la kutoa elimu kwa umma juu ya kujiepusha na mianya ya rushwa katika mchakato mzima wa utoaji wa leseni za biashara. Ni rahisi kufanya biashara kwa amani kwa kuhakikisha unakuwa na leseni ya Biashara ”Amesema Bi Milembe



Aidha Bi.Milembe ameanisha baadhi ya faida za kuwa na leseni ikiwemo kumtambulisha mfanyabiashara kisheria hivyo shughuli zako zinakuwa halali, kumuwezesha  mfanyabiashara kupata huduma mbalimbali za kifedha kama vile mikopo na kukuza pato la taifa kwa ujumla.

Pamoja na hayo Bi Milembe ameziainisha baadhi ya kazi za taasisi yao kuwa ni pamoja na kuelimisha umma juu ya masuala ya rushwa,kufanya uchunguzi na uthibiti wa masuala mbalimbali katika nyanja tofauti sambamba na kuchunguza malalamiko mbalimbali ya rushwa.



Akichangia katika kikao hicho, Bi Elizabeth Swagi Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Divisheni ya viwanda,BIashara na Uwekezaji Ilemela amesema kuwa leseni ni haki ya kila mtu na hutolewa kwa kila mfanyabiashara yeyote ambae amekamilisha mahitaji yote ya kuanzisha biashara.



“Leseni ni haki ya kila mtu na inapaswa kutolewa kwa mfanyabiashara yeyote aliyekamilisha taratibu zinazohitajika za kujaza fomu na kuambatisha nyaraka mbalimbali za utambulisho wake na uthibitisho wa biashara yake.”,amesema Bi Swagi


Nae mwenyekiti wa wafanyabiashara wadogo wadogo maarufu kama “machinga”katika soko la Kiloleli ndugu Modest John ameomba elimu itolewe zaidi kwa jamii nzima ili kuleta uelewa wa pamoja wa masuala mbalimbali ya ulipaji kodi na tozo za serikali.

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.