• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Wadau waunga mkono elimu ya watu wazima Ilemela

Posted on: October 7th, 2021

Halmashauri ya manispaa ya Ilemela imeendelea kuungana na wadau mbalimbali kutekeleza mpango wa wizara ya elimu wa elimu ya watu wazima Mpango wa uwiano kati ya elimu ya watu wazima na jamii (MUKEJA) na elimu isiyo rasmi katika kutoa elimu ya ujuzi kuwawezesha wahusika kujitambua, kuishi kwa malengo,kujiinua kiuchumi sambamba na kupambana na umaskini,ujinga na maradhi.

Elimu ya watu wazima na elimu nje ya mfumo usio rasmi, vyama na watu wazima inalenga kuhakikisha kuwa watoto walio nje ya shule hasa wasichana,wanawake na makundi mengine ambao hawajabahatika wanapata fursa ya mafunzo bora ya msingi.

Akizungumza wakati wa darasa maalum juu ya elimu uzazi na mafunzo ya namna ya kujikwamua kiuchumi kwa wasichana wa kata ya Kahama walio nje ya mfumo rasmi wa elimu kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo mimba za utotoni Mkurugenzi wa shirika la “LIFE WITH HOPE FOUNDATION” Bi. Yunge Charles Nyanda amesema ni muhimu kwa jamii kuona umuhimu wa kuelimishana vitu sahihi vyenye tija kwa watu wote ili kujenga uelewa wa pamoja.

“Sisi tunatoa elimu ya uzazi, maadili mema, elimu ya mapambano dhidi ya unyanyasaji na ukatili kwa wanawake na watoto, tunatoa elimu ya ujasiriamali sambamba na matumizi bora ya Teknolojia ya habari na mawasiliano (TEHAMA).Tunaungana na serikali ya awamu ya sita kupitia mpango wake wa elimu kwa watu wazima” amesema

Nae mratibu wa mradi wa elimu ya uzazi Mchungaji Seth Johnson kutoka shirika la Fida International amesema ni muhimu kwa wazazi kuongea na watoto wao mara kwa mara kuwaelekeza juu ya mabadiliko ya miili yao bila aibu.

Mmoja wa washiriki katika mafunzo hayo Selina Robert (31) ametoa shukrani kwa mafunzo hayo na kuahidi kuwa balozi mzuri wa kuendelea kutoa ujumbe kwa majirani zake mahali anakoishi.

“Mafunzo haya ni mazuri kwani nimejifunza vingi ambavyo nilikuwa sivifahamu,kabla ya mafunzo haya nilijua kuongea na mwanangu kuhusu mabadiliko ya mwili wake ni kosa ki maadili kumbe nilikuwa nakosea “amesema Selina.

Mratibu wa elimu ya watu wazima Wilaya ya Ilemela ndugu Recipitius Maghembe amesema anawashukuru wadau wote wanaoendelea kuunga mkono jitihada za serikali katika mpango wa elimu ya watu wazima na kualika wadau zaidi





Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.