• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WADAU WA MAENDELEO WAENDELEA KUUNGUA JUHUDI ZA SERIKALI

Posted on: March 2nd, 2023

"Manispaa ya Ilemela itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wenye nia njema kwa lengo la kuleta maendeleo ndani ya Wilaya nzima ya Ilemela hii inaenda sambamba na vipaumbele vya serikali ya awamu ya sita kwa kuhakikisha changamoto mbalimbali za wananchi zinapata ufumbuzi kwa wakati."


Hayo yamesemwa na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilemela Mhe. Renatus Mulunga wakati akipokea jumla ya mashuka 50 yenye thamani ya takribani shilingi laki nane katika zahanati ya Nyakato kutoka SACCOS YA NBE  ya wafanyakazi wa kiwanda cha soda za cocacola

Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo diwani wa kata hiyo Mhe.Jonathan Mkumba ametoa shukrani kwa wafanyakazi hao kwa kuona na kutambua umuhimu wa sekta ya afya ndani ya kata ya Nyakato.


"Huduma za kituo hiki ni  nzuri ndo maana tunaendelea kupata wagonjwa wengi hadi kutoka kata za Wilaya jirani ya Nyamagana hivyo nasi hatuna budi kuunga mkono kazi nzuri inayofanywa hapa zahanati." Mhe.Mkumba

Kwa upande wake Mwenyekiti wa SACCOS hiyo Bwana David Otieno amefafanua kuwa  vifaa walivyotoa ni utekelezaji wa agizo namba Saba la Sheria na taratibu za vyama ushirika nchini la kutaka kutengwa fedha kwaajili ya shughuli za kijamii na kwamba zoezi hilo litakuwa endelevu hivyo kuviomba vyama vyengine vya ushirika kuiga mfano huo

Nae Afisa ushirika wa Manispaa Bi. Teddy Chrisant ametoa rai kwa  SACCOS zingine kuendana na kanuni za ushirika kwa kuhudumia jamii pindi vyama vinapotengeneza faida.


Grace Ngongo ni muuguzi katika zahanati ya Nyakato yeye anatoa shukrani kwa uongozi wa NBE SACCOS kwa msaada huo wa mashuka kwa ajili ya wateja wao.


Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA ASILIMIA 10 November 21, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA ASILIMIA 10 November 21, 2025
  • ORODHA MAJINA YA WATENDAJI WA VITUO WALIOTEULIWA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI MWAKA 2025 JIMBO LA ILEMELA October 20, 2025
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA VYUMBA VYA BIASHARA October 16, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • MADIWANI ILEMELA WAAPISHWA, BARAZA KUANZA KAZI RASMI

    December 03, 2025
  • ILEMELA YAANZA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI 2026/2027

    November 25, 2025
  • "UPANDAJI WA MICHE YA MATUNDA UWE ENDELEVU";DC MKALIPA

    November 20, 2025
  • WATAHINIWA 7912 KUFANYA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE 2025 MANISPAA YA ILEMELA

    November 17, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.