• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

VYAMA 15 VYA SIASA KUSHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 ILEMELA

Posted on: November 18th, 2024

Jumla ya vyama 15 vya siasa vilivyosajiliwa na msajili wa vyama vya siasa nchini vinatarajiwa kushindana katika uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2024 ndani ya wilaya ya Ilemela siku ya tarehe 27 novemba 2024.

 

Taarifa hiyo imetolewa na msimamizi wa uchaguzi wa serikali za Mitaa Bi Ummy Wayayu alipozungumza na vyombo vya habari siku ya jumapili tarehe 17 Novemba 2024 kwa ajili ya kutoa muelekeo wa hali ya uchaguzi katika manispaa ya Ilemela.

 

Bi Ummy alifafanua zaidi kwa kuvitaja vyama hivyo 15 ambavyo vimekidhi vigezo na kusimamisha wagombea katika uchaguzi kuwa ni CCM, CHADEMA, ACT-WAZALENDO, SAU, UMD, CUF, UPDP, NCCR, CCK, DP, UDP, AAFP, DEMOKRASIA MAKINI, ADC na NLD

 

Aidha baada ya rufaa  zote zilizowasilishwa na kutolewa uamuzi manispaa ya  Ilemela itakuwa na jumla ya wagombea 1798 ambapo kati yao wagombea 373 ni wa nafasi ya uenyekiti na wagombea 1425 ni kwa nafasi ya ujumbe wa kamati ya mtaa kundi mchanganyiko na kundi la wanawake ambao wameteuliwa kushiriki uchaguzi huo alisema Bi Ummy.

 

Viongozi wa vyama vya siasa wilaya ya Ilemela wamepongeza kwa namna ambavyo msimamizi wa uchaguzi manispaa ya Ilemela amekuwa akiwashirikisha kuanzia hatua za awali za uchaguzi huku wakishukuru kwa namna mchakato wa uchaguzi ulivyoendeshwa kwa uwazi.

 

Bi Rebecca Samson Mwita ambae ni Katibu wa wilaya kutoka chama cha Democratic Party akiwapongeza wanawake kwa kujitokeza kugombea na kwamba chama chake kimetoa nafasi sawa kwa jinsia zote ikiwa ni pamoja na kuzuia rushwa za ngono kwa jinsia ya kike 

 

Nae Bwana Holela Mabula ambae ni katibu wa chama cha kijamii CCK wilaya ya Ilemela amempongeza manispaa ya Ilemela kwa maandalizi mazuri ya uchaguzi na ushirikishwaji kwa vyama vya siasa 

 

Bi Ummy Wayayu alihitimisha kwa kuwasisitiza wananchi kujitokeza katika mikutano ya kampeni kwa ajili ya kusikiliza sera za vyama vya siasa vinavyoshiriki uchaguzi huo ili kufanya maamuzi sahihi siku ya kupiga kura na kuwachagua viongozi watakaoweza kuwatumikia kwa uadilifu na kuwaletea maendeleo katika mitaa yao, huku akiwataka viongozi wa vyama vya siasa kufanya kampeni za kistaarab ili kudumisha amani iliyopo

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.