• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

VIKUNDI MBALIMBALI VYA UJASIRIAMALI WILAYA YA ILEMELA VYAPATIWA MAFUNZO

Posted on: November 16th, 2017

VIKUNDI MBALIMBALI VYA UJASIRIAMALI WILAYA YA ILEMELA VYAPATIWA MAFUNZO


Shirika la Viwanda vidogo vidogo SIDO mkoa wa Mwanza  limetoa  mafunzo ya Ujasiriamali kwa vikundi mbalimbali vilivyopo wilaya ya Ilemela ikiwa ni mkakati wa utekelezaji na ufikiaji wa sera ya Serikali ya awamu ya tano yakuifikia Tanzania ya viwanda.


Mafunzo hayo yalitolewa  kwa kushirikiana na Manispaa ya Ilemela, benki ya Posta, mamlaka ya chakula na dawa TFDA, mamlaka ya mapato nchini TRA, shirika la viwango  TBS, jukwaa la biashara la wanawake TWCC, jukwaa la biashara , viwanda na kilimo TCCIA kwa ufadhili wa asasi isiyokuwa ya Serikali  ijulikanayo kama TLED


Aliyekuwa mgeni rasmi wa mafunzo hayo Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela ndugu John Wanga amekuwataka wajasiriamali waliohudhuria mafunzo hayo kuongeza ubunifu na ugunduzi ili kuongeza ubora wa bidhaa zao katika kupambana na mahitaji ya soko ili kuendana  sambamba na ufikiaji wa malengo ya serikali ya Mheshimiwa Rais John Magufuli ya nchi ya viwanda.


‘…  Leo Tanzania imekuwa ni jalala la kupokea vitu hata vya kawaida kabisaa kutoka nchi za jirani zetu, kutoka nchi za China, Thailand na Malasia tunapokea bidhaa zao hata kiberiti, Hivi Kibiriti cha Kangaroo kilikuwa kinatoka wapi?, Hivi sisi tunashindwa kutengeneza hata Kiberiti?, Njiti za kuchokonolea meno zinatoka wapi?,  Lakini  mfanyabiashara anakwenda kuchukua fedha kutoka benki alafu anaagiza mzigo anatuletea hapa, Sasa Mheshimiwa Rais kasema hapana lazima tuanzishe utaratibu wa kuwa na viwanda …’ Alisema


Nae meneja wa SIDO Mkoa wa Mwanza ndugu Bakari Songwe amesema kuwa wameanzisha kampeni ya pamoja kwa kushirikisha sekta binafsi na sekta ya Umma zilizopo ndani ya mkoa Mwanza inayojulikana kwa jina la ‘AMSHA KIWANDA’ lengo ni kutekeleza kwa vitendo adhma ya Serikali ya Tanzania ya viwanda kwa kuwasaidia wajasiriamali wadogo kufikia malengo yao kwa kuwakutanisha na wadau wote muhimu wa biashara wanazozifanya ili kuweza kukidhi mahitaji ya soko na ushindani.


Kwa upande wake mwenyekiti wa jukwaa la wanawake na uwezeshaji kiuchumi kutoka wilaya ya Ilemela Bi Winfrida Mgendi mbali na kushukuru kwa uzinduzi wa mafunzo hayo yatakayowasaidia wanawake kiuchumi kupitia vikundi vyao vya ujasiriamali amewataka kuitumia vizuri fursa hiyo iliyojitokeza kama chachu ya kukuza biashara zao na kujikwamua kimaisha kwa kujitokeza na kushiriki kikamilifu   huku akisisitiza kutokaa nyumbani pale wanaposikia fursa mbalimbali zinapotokea


Akihitimisha mafunzo hayo meneja wa taasisi inayofadhili mradi huo ya TLED ndugu Nelson Musikwa amesema kuwa taasisi yake imekuwa ikishirikiana na kutekeleza miradi mbalimbali ya kuisaidia jamii katika kufikia malengo ya serikali hivyo mradi wa ‘AMSHA KIWANDA’ ndio mradi mkubwa wanaoutekeleza kwa sasa utakaodumu kwa miaka mitano nakuwataka wananchi na wadau wengine kuunga mkono jitihada hizo


Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.