• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

VIJANA WAMETAKIWA KUUNGA MKONO NA KUTHAMINI JITIHADA ZA SERIKALI

Posted on: September 4th, 2025

“Ombi langu kwenu, endeleeni kuunga mkono na kuthamini jitihada za serikali, kwa bidii hii mliyoionyesha sisi kama serikali  tupo tayari kuendelea kuwashika mkono zaidi na zaidi katika kuhakikisha mradi huu unasonga mbele ikiwemo kuwapatia tenda mbalimbali” 

 

Ni kauli ya kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru 2025 Ndg Ismail Ali Ussi alipotembelea kikundi cha vijana cha CROSSOVER siku ya tarehe 26/08/2025 kwa lengo la kukagua maendeleo ya kikundi hicho ambacho ni moja ya wanufaika wa mkopo wa asilimia 10 ya mapato ya ndani ya manispaa ya Ilemela ambapo amewapongeza kwa kuweza  kuutumia mkopo huo kwa malengo yaliyokusudiwa na hatimaye kuwaletea manufaa.

 

Aidha Ndg. Ussi, amemshukuru Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan  kwa kuendelea kutekeleza azma yake ya kuwainua wananchi kiuchumi kupitia asilimia 10 ya mapato ya ndani ya Halmashauri kwenda kwenye makundi ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu.

 

Naye mwenyekiti wa kikundi cha CROSSOVER FOUNDATION Ndg. Gerald James Masso akisoma taarifa ya mradi wa kikundi chao amesema kuwa kupitia mkopo huo wamefanikiwa Kutoa ajira kwa vijana wanne (4) pamoja na wanakikundi 05 na pia mradi unachangia mapato ya Serikali kwa kulipa kodi za moja na kwa kupitia bidhaa zinazonunuliwa madukani. 

 

“Tunamshukuru Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassankwa kuendelea kuwawezesha kiuchumi makundi ya Wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu.” Alimalizia Mwenyekiti huyo.

 

CROSS OVER FOUNDATION ni kikundi  kilichopata shilingi milioni 50 kutoka manispaa ya Ilemela ambacho kinajishughulisha na uchapishaji wa mabango, vifungashio, note book, uchapaji wa stika, nembo na chapa katika vifaa mbalimbali kama magari, vigae, vikombe, nguo na picha kwa teknologia ya kidigitali.

Announcements

  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 July 08, 2025
  • TANGAZO LA KAZI NAFASI YA UDEREVA DARAJA LA II June 04, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • ELIMU YA LISHE YATOLEWA KW WATOA HUDUMA ZA AFYA ILEMELA

    September 15, 2025
  • MAAFISA USAFIRISHAJI NA WAVUVI WAASWA KUTOTUMIKA VIBAYA KIPINDI CHA UCHAGUZI MKUU 2025

    September 11, 2025
  • MAASKARI 121 WA JESHI LA AKIBA WAHITIMU MAFUNZO WAASWA KUVIISHI VIAPO VYA

    September 09, 2025
  • VIJANA WAMEHIMIZWA KUTUMIA FURSA ZA KIUCHUMI KATIKA MAENEO YAO KUJIKWAMU KIUCHUMI

    September 05, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.