• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

VIJANA 75 WAHITIMU MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA ILEMELA

Posted on: November 14th, 2022

Jumla ya vijana 75 wakike wakiwa 12 na wakiume 63 wamehitimu mafunzo ya uaskari wa jeshi la akiba maarufu mgambo ndani ya wilaya ya Ilemela.


Akizungumza wakati wa kufunga mafunzo hayo yaliyoanza mapema Agosti 05, Kaimu Mkuu wa wilaya ya Ilemela Mhe Salum Kali amewataka vijana hao kuendelea kuwa waadirifu na wazalendo kwa nchi yao pamoja na kuyatumia mafunzo waliyoyapata kwa maslahi ya taifa ikiwemo kuendelea kudumisha ulinzi na usalama wanchi na raia wake.

‘.. Nendeni mkawe walinzi wa usalama wa nchi yetu na raia wake, Kabla mtu hayaleta chokochoko zozote nyie muwe teyari mshapata taarifa na kuchukua hatua ..’ Alisema

Aidha Mhe Kali ameyataka makampuni ya ulinzi, vyombo vyengine vya usalama na taasisi za Serikali hasa manispaa ya Ilemela kuwatumia vijana hao kwa utekelezaji wa shughuli mbalimbali za Serikali ikiwemo kusimamia usalama na ulinzi wa mitihani, kusimamia ulinzi wa matukio mbalimbali ya shughuli za Umma ili kutoa fursa kwa vijana hao kujipatia ajira na kipato.



Kwa upande wake mshauri wa jeshi la akiba wilaya ya Ilemela Kanali Evans Akili  amefafanua kuwa madhumuni ya mafunzo ya jeshi la akiba ni kusogeza huduma za ulinzi karibu na wananchi, kushirikisha wananchi katika suala zima la ulinzi wa taifa, kumuandaa askari wa jeshi la akiba kuingia vitani wakati wowote wa vita pindi  nchi itakapovamiwa pamoja na kujifunza mbinu za kivita na mikakati ya kukabiliana na adui.



Nice Jacob Binyaruka ni miongoni mwa wahitimu wa mafunzo ya jeshi la akiba akitokea kata ya Ilemela, ambapo amepongeza na kushukuru kwa kupata mafunzo huku akiiasa jamii kuondoa fikra potofu kwa jinsia ya kike kushindwa kushiriki mafunzo ya kijeshi sanjari na kuomba jamii kuendelea kuwaruhusu vijana wao kujitokeza kupata mafunzo kwaajili ya kulinda taifa na uzalendo

Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
Halmashauri Ya Manispaa ya Ilemela.


Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.