• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

USHIRIKIANO MZURI UTATUFIKISHA MBALI - MHE.MABULA

Posted on: July 5th, 2023

" Kukamilika kwa miradi hii ya afya sio kwa ajili ya watu flani,ni kwa manufaa ya wote.Watakaotibiwa hapa ni watanzania wote, maendeleo hayana chama wote tuwe kitu kimoja kuhakikisha miradi hii inakamilika kwa wakati. "

Hayo yamesemwa na Mbunge wa Ilemela Mhe.Angelina Mabula ambaye pia ni Waziri wa ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi wakati wa ziara yake ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo alipotembelea zahanati ya Nyakato, Nyambiti, Kawekamo na Luhanga kuona ujenzi wa majengo mbalimbali unaoendelea ambako kote mfuko wa jimbo umechangia katika utekelezaji wake.

Jumla ya kiasi cha shilingi milioni 83.7 ya mfuko wa jimbo imetumika kwa mwaka wa fedha 2022/2023 katika miradi mbalimbali ya maendeleo Ilemela.

Mhe.Mabula amesisitiza kazi kufanyika kwa ushirikiano kwa ngazi zote kupitia nguvu ya utatu kwa maana ya wananchi,serikali/wataalam na viongozi na Mbunge/Chama kwani ni muhimu kuunganisha nguvu katika kufanikisha mipango ya kuleta maendeleo Ilemela.

Nae Mstahiki Meya Mhe.Renatus Mulunga ameuhakikishia umma kuwa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela ipo tayari kuunga mkono kukamilisha ujenzi wa maboma ya miradi mbalimbali yaliyoanzishwa na wananchi kwa wakati ili huduma zilizokusudiwa zianze kutolewa mara moja.

Sambamba na hilo mradi wa ujenzi wa barabara ya Mwaloni yenye urefu mita 900 umetembelewa huku Mhe.akipongeza kazi nzuri ya kurahisisha mawasliano kupitia miundo mbinu ya barabara inayoendelea jimboni mwake.

Aidha Mhe.Mabula amemshukuru Rais wa Jamhuri ya I wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anayoendelea nayo kwa kutoa fedha nyingi kuanzisha na kukamilisha miradi ya maendeleo huku akiwasihi wananchi kuunga mkono juhudi hizo zenye manufaa makubwa kwa vizazi vya sasa na vijavyo.

Ismail Bundala ni mkazi wa kata ya Kiseke mahali zahanati ya Luhanga ilipo yeye anapongeza maboresho ya huduma za afya yanayoendelea katika zahanati hiyo.

" Mke wangu mwaka jana aliponea hapa , alipata changamoto ya ujauzito kutaka kuharibika tukiwa nyumbani usiku tulikimbilia hapa na kupata matibabu na mwezi uliopita tumepokea mtoto wetu wa tatu hapa hapa zahanati ya Luhanga.Mama anaupiga mwingi kwa kweli."

Announcements

  • TANGAZO LA KAZI NAFASI YA UDEREVA DARAJA LA II June 04, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • KAMPENI YA KITAIFA YA UTOAJI WA MATONE YA VITAMI A YAFIKIA ASILIMIA 98.7

    June 26, 2025
  • WENZA WA VIONGOZI WATEMBELEA SEKONDARI YA IGOGWE WAPONGEZA JUHUDI ZA SERIKALI

    June 26, 2025
  • DAWATI LA HUDUMA ZA USTAWI WA JAMII KUENDELEA KUIMARISHA UTOAJI WA HUDUMA STENDI YA MABASI NYAMHONGOLO

    June 26, 2025
  • ILEMELA YAPONGEZWA KUPATA HATI SAFI, WITO WATOLEWA KUTOZALISHA HOJA MPYA ZA UKAGUZI

    June 17, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.