• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

UKAMILISHWAJI WA UJENZI WA JENGO LA DHARULA LA HOSPITALI YA WILAYA WALENGA KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA ILEMELA

Posted on: April 24th, 2017

UKAMILISHWAJI WA UJENZI WA JENGO LA DHARULA LA HOSPITALI YA WILAYA WALENGA KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA ILEMELA

Vifo vya kina mama wajawazito na watoto vinatarajiwa kupungua ndani ya manispaa ya Ilemela baada ya kukamilika kwa jengo la kisasa la dharula la hospitali ya wilaya hiyo likijumuisha kamera za usalama na mifumo yote ya kisasa ili kuhakikisha wananchi wa eneo hilo wanapata huduma bora na salama za afya

Hayo yamebainishwa na mchumi wa manispaa hiyo ndugu Amosi Zephania wakati akiwasilisha taarifa ya ujenzi wa jengo jipya la dharula na inayotegemewa kuwa hospitali ya wilaya kwa kamati ya fedha ya manispaa ilipotembelea eneo hilo kuona namna shughuli za ujenzi zinavyoendelea

‘… Manufaa ya mradi huu utakapokamilika ni kupunguza vifo vya wakina mama wajawazito na watoto wachanga, kupunguza msongamano wa wagonjwa hasa katika hospitali ya rufaa ile ya mkoa Sekou Toure na kupunguza usumbufu kwa jamii kufuata huduma kwa umbali mrefu …’


Aidha ameongeza kuwa mbali na jitihada zinazochukuliwa na serikali katika kufanikisha ujenzi huo bado ipo changamoto ya kifedha na kuomba serikali kuu kusaidia ujenzi huo


Kwa upande wake mwenyekiti wa kamati ya fedha ambae pia ni mstahiki meya wa manispaa mheshimiwa Renatus Mulunga amesema kuwa ameridhishwa na namna ujenzi unavyoendelea na kuongeza kuwa mbali na msaada wa serikali kuu manispaa yake itayatumia mapato yake ya ndani kusaidia kukamilika kwa ujenzi huo kila panapowezekana

‘… Naridhishwa na hatua za ujenzi, Ni hatua nzuri kazi iendelee zaidi pesa tu iongezwe ili tukamilishe ujenzi huu kwa haraka …’ alihitimisha

Ujenzi wa jengo la kisasa la dharula mpaka sasa umegharimu zaidi ya shilingi milioni mia tano na tatu na mpaka kukamilika kwake inategemewa kugharimu zaidi ya shilingi milioni mia sita tisini na nne ambapo mpaka kukamilika kwa hospitali yote ya wilaya inategemewa kugharimu zaidi ya bilioni Ishirini na tano na umechukua eneo la ukubwa wa zaidi ya heka mbili na nusu

Mbali na hayo Kamati pia ilifanikiwa kuzuru mradi wa usambazaji maji Kahama-Nyamadoke na baadae kuzungumza na wafanya biashara wa soko la mbao Sabasaba  ikiwa ni jitihada za kuhakikisha inawasaidia wafanya biashara wa masoko yake sambamba kuongeza mapato ya serikali.







Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.