• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

UKAGUZI NA UFUATILIAJI WA MATUMIZI YA MIFUMO YA TEHAMA KATIKA UTOAJI WA HUDUMA KWA JAMII ILEMELA

Posted on: October 7th, 2023

Timu kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI  na wadau wa Maendeleo (USAID) kupitia mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3+) Ikiongozwa na Dkt. Enoch Nyanda Mkurugenzi Msaidizi kutoka Idara ya Uchumi na Uzalishaji OR- TAMISEMI wamefika Ilemela kwa lengo la kufuatilia namna mifumo ya TEHAMA inavyoboresha utoaji wa huduma kwa jamii toka ianze kutumika


Katika ziara hiyo ya kikazi ambayo itadumu kwa siku 3, timu hiyo imeweza kufanya ufuatiliaji katika Shule ya Sekondari Buswelu na kukagua namna mfumo wa FFARS unatumika pamoja na Kituo cha Afya Buzuruga ambapo wameangalia matumizi ya mfumo wa GoTHOMIS


“Tumefika Ilemela kufanya ufuatiliaji wa utekelezaji wa miradi ambayo imefadhiliwa na mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3+) sambamba na kuangalia namna ya kuboresha changamoto zote zitakazojitokeza Pamoja na hilo tutakagua baadhi ya vituo vya afya, shule, ili kuona namna halmashauri inatekeleza shughuli mbalimbali kupitia mifumo mbalimbali ya TEHAMA kama vile GoTHOMIS, PLANREP, FFARS n.k Lengo ikiwa ni kuona namna gani  mifumo ya TEHAMA inavyoboresha utoaji wa huduma kwa jamii toka ianze kutumika” Amesema Dkt. Enock Nyanda Mkurugenzi Msaidizi kutoka Idara ya Uchumi na Uzalishaji OR- TAMISEMI


Ameongeza kusema kuwa pamoja na kukagua matumizi ya mifumo hiyo pia wataweza kusikiliza changamoto zinazowapata wanaotumia mfumo huo kwa lengo ya kuzitatua.


Serikali kwa kushirikiana na wadau kama USAID wameendelea kurahisisha utendaji kazi kwenye shughuli za kila siku kwa kuleta mifumo rahisi kwenye usimamizi ambayo imekua ikirahisisha kuchakata na kuunganisha taarifa katika ngazi zote za utendaji kuanzia Vijijini hadi Taifa.








Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.