• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

UJENZI WA VYUMBA 110 VYA MADARASA WAFIKIA ASILIMIA 80

Posted on: December 1st, 2022



Ujenzi wa vyumba 110 vya madarasa katika shule za Sekondari za Manispaa ya Ilemela umefikia takriban asilimia 80 ya ukamilishaji, ambapo kukamilika kwa ujenzi huu kunaenda kuondoa changamoto ya uhaba wa vyumba vya madarasa kwa shule za sekindari



Hilo limebainishwa katika ziara ambayo imeongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Ilemela ambayo ameifanywa kwa takriban siku tatu ikiwa na lengo la kufuatilia maendeleo ya ujenzi wa madarasa hayo ikiwa ni pamoja na kukagua ubora wa ujenzi kwa kulinganisha na thamani ya fedha.



Akiwa katika ziara hiyo Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Mhe. Hassan Masala ameendelea kumshukuru Mhe Rais kwa kutoa kipaumbele katika sekta ya Elimu huku akiwapongeza wasimamizi wote kwa usimamizi mzuri na kusema kuwa anatarajia kuwa ujenzi utakamilika kwa wakati.



",Matarajio ni kuwa tumekamilisha ujenzi wa madarasa haya 110 kufikia tarehe 15 Disemba 2022 na kuyakabidhi madarasa haya kwa Mkuu wa Mkoa ili aweze kumkabidhi Mhe. Rais", Amesema Mhe Masala



Aidha ametoa wito wa kuanza kufikiria ujenzi wa maghorofa kwani maeneo yameanza kuwa finyu hali itakayopelekea kwa siku za mbeleni kuwakosesha wanafunzi maeneo ya kucheza.




Nao Waheshimiwa Madiwani kutoka kata ambazo ujenzi wa madarasa unaendelea wameahidi kuendelea kuunga juhudi za Mhe.Rais kwa kusimamia vizuri miradi yote ya maendeleo.



Walimu kutoka shule za Sekondari kwa nyakati tofauti wametoa shukurani kwa serikali ya chini ya Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuboresha miundombinu katika sekta mbalimbali hususan elimu kwani inaenda kuboresha Mazingira ya Kujifunza na Kujifunzia



Ikumbukwe mnamo mwezi Septemba Mhe Rais aliipatia Ilemela kiasi cha Shilingi Bilioni 2.2 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba 110 vya madarasa katika shule za sekondari 23 kwa ajili ya mapokezi ya wanafunzi wa kidato cha kwanza mwaka 2023,














Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.