• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

"UCHUMI WA BLUU NI FURSA KUBWA NA YENYE KUWEZEKANA"- MHE ULEGA

Posted on: August 20th, 2022

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega amesema kuwa uchumi wa bluu ni fursa kubwa na yenye kuwezekana kutokana na uhitaji mkubwa wa mazao ya samaki nchini na nje ya nchi.


Ameyasema hayo alipotembelea mradi wa vijana wa ufugaji samaki kwa njia ya vizimba uliopo Kata ya Sangabuye eneo la Igalagala ambapo amewapongeza vijana hao kwa hatua hiyo waliyofikia na kuwataka waombe mkopo ili waweze kuwa na vizimba hata 30 kuwawezesha kupata samaki wengi zaidi, pesa nyingi zaidi ili waweze kuajiri na vijana wengine. Kwani kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Wizara takriban vizimba 600 vinawezekana kuwekwa katika eneo la ziwa Viktoria.

“Ninaamini uchumi wa bluu ni fursa kubwa na yenye kuwezekana, kwa mujibu wa takwimu nchi ya ubelgiji na ufaransa wanataka tani 10 za samaki aina ya dagaa kila mwezi kutoka katika nchi yetu hivyo hatuna sababu ya vijana kukosa ajira endapo tuta jipanga vizuri na tukawajibika kila mmoja akapambana kwa dhati kabisa”, amesema Mhe Ulega


Aidha amesema kuwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ameweka fedha  jumla ya Tsh. Bilioni 20 katika benki ya kilimo kwa ajili ya kuweza kuinua makundi ya vijana, wakinamama na watanzania wote wenye kutaka kufanya kazi ya uzalishaji mali ili kulijenga taifa la Tanzania kupitia fursa ya uchumi wa bluu. Huku akiwasisitiza vijana ambao tayari wameianza hii kazi na wanaotarajiwa kuanza na walio na utayari, fedha hizi zipo tayari ziingie katika uzalishaji.


Pamoja na hayo ameupongeza Uongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Ilemela kwa uthubutu na kuweza  kutoa takriban milioni 90 na kuzipeleka katika sekta ya uzalishaji ili kuweza kuwainua vijana hawa wa kitanzania.


“Hii Manispaa imekuwa ya mfano katika jambo hili la kuwezesha vijana katika suala la ufugaji samaki kwa njia ya vizimba na mimi nitakuwa balozi wenu na shahidi kadiri nitakavyopata nafasi ya kusema kwamba mfano mzuri umeonyeshwa na Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela”. Amesema Mhe Ulega

Mhe. Hasan Masala, Mkuu wa Wilaya ya Ilemela amesema kuwa uongozi wa Ilemela unaendelea kuvisimamia vikundi hivyo ili viweze kutimiza malengo na kuwa vya mfano , pamoja na kuendelea kuvifuatilia ili viweze kupewa fedha nyingi zaidi  na kuleta mapinduzi ya uchumi wa blue kupitia vikundi vya vijana wanawake na walemavu.


Vikundi hivyo vya  Catfish na chapakazi ambavyo vilipata mkopo wao kupitia Halmashauri kiasi cha Shilingi milioni 91 za kitanzania kwa ajili ya kuanzisha mradi vinatarajia kuvuna tani 16 ya samaki yenye thamani ya Tsh Milioni themanini za Kitanzania kutoka katika kila kizimba kimoja cha samaki, amesema ndugu Baraka ambae ni  kiongozi wa kikundi cha catfish

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA ASILIMIA 10 November 21, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA ASILIMIA 10 November 21, 2025
  • ORODHA MAJINA YA WATENDAJI WA VITUO WALIOTEULIWA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI MWAKA 2025 JIMBO LA ILEMELA October 20, 2025
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA VYUMBA VYA BIASHARA October 16, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • ILEMELA YAANZA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI 2026/2027

    November 25, 2025
  • "UPANDAJI WA MICHE YA MATUNDA UWE ENDELEVU";DC MKALIPA

    November 20, 2025
  • WATAHINIWA 7912 KUFANYA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE 2025 MANISPAA YA ILEMELA

    November 17, 2025
  • DC MKALIPA AHIMIZA VIKAO NA WAZAZI JUU YA MASUALA YA LISHE MASHULENI

    November 17, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.