• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

"TUWE WAVUMILIVU, SERIKALI INATAFAKARI NJIA BORA YA UTATUZI WA MGOGORO HUU": RC MTANDA

Posted on: February 24th, 2025

“Tuwe na uvumilivu serikali inatafakari njia bora ya kutatua mgogoro huu ambao umedumu kwa muda mrefu, lengo la kufika hapa leo ni kuwahakikishia wananchi kuwa serikali haina haja ya kumdhulumu mwananchi yoyote na pia inawajali na kuwathamini”. RC Mtanda

 

Mhe Said Mtanda, Mkuu wa mkoa wa Mwanza ametoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza na wananchi wa kata ya Shibula siku ya tarehe 21/02/205 kufuatia mgogoro wa ardhi unaoendelea kati ya wananchi na eneo la uwanja wa ndege wa Mwanza.

 

Mhe Mtanda aliendelea kusema kwa kuwataka wananchi kuendelea kuwa na Subira, amani na utulivu wakati serikali inatafakari namna bora ya kutatua mgogoro huu huku akiwahakikishia kuwa serikali hii ni sikivu.

 

“Tunafahamu kuwa ni muda mrefu sasa mmezuiliwa kuendeleza maeneo yenu kutokana na mgogoro huu, lakini mimi kama kiongozi siwezi kuwapa majibu mepesi kwa lengo la kuwaridhisha, niwahakikishie kuwa maoni yenu yamepokelewa na yanafanyiwa kazi”. RC Mtanda 

 

Akiwasilisha mapendekezo kwa niaba ya kamati ya kata iliyoundwa kushughulikia mgogoro huo, ndugu Deus Kaji alisema kuwa kamati inaiomba serikali kuhakikisha kuwa inaumaliza mgogoro huo ili waweze kuendelea na maisha kama wananchi wengine wakipendekeza ifuatavyo;Kulipwa fidia ya maeneo yao, serikali iwaachee waendeleze maeneo yao, kupewa maeneo mbadala ili wapishe eneo hilo sambamba na mapendekezo hayo wameomba wapewe fomu namba moja ya utambuzi wa mali na thamani halisi ya maeneo yao.

 

Mgogoro huo wa ardhi wa mpaka uwanja wa ndege na wananchi wa kata ya Shibula uliodumu zaidi ya miaka 8 unawahusu wananchi takriban 5471 kutoka katika kaya zaidi ya 1404 za mitaa mitano ambayo ni Nyamwilolelwa, Kihiri, Shibula, Mhonze B na Bulyangh’ulu.

 

Announcements

  • TANGAZO LA KAZI NAFASI YA UDEREVA DARAJA LA II June 04, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • KAMPENI YA KITAIFA YA UTOAJI WA MATONE YA VITAMI A YAFIKIA ASILIMIA 98.7

    June 26, 2025
  • WENZA WA VIONGOZI WATEMBELEA SEKONDARI YA IGOGWE WAPONGEZA JUHUDI ZA SERIKALI

    June 26, 2025
  • DAWATI LA HUDUMA ZA USTAWI WA JAMII KUENDELEA KUIMARISHA UTOAJI WA HUDUMA STENDI YA MABASI NYAMHONGOLO

    June 26, 2025
  • ILEMELA YAPONGEZWA KUPATA HATI SAFI, WITO WATOLEWA KUTOZALISHA HOJA MPYA ZA UKAGUZI

    June 17, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.