• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

" TUSIONE AIBU KUZUNGUMZA MASUALA YA UKIMWI NGAZI ZA FAMILIA."

Posted on: December 1st, 2023


Afisa tarafa wa Wilaya ya Ilemela ndugu Godfrey Mnzava kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Ilemela ameshiriki maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani yaliyofanyika katika viwanja vya zahanati ya Nyerere iliyopo kata ya Buswelu.

Akitoa taarifa ya utekelezaji wa shughuli za UKIMWI katika Wilaya ya Ilemela wakati wa maadhimisho hayo Tabibu huduma ya tiba na matunzo kwa watu wanaoishi na maambukizi ya virusi vya vya UKIMWI zahanati ya Nyerere Phidon Byangwamu amesema hali ya maambukizi ya VVU imeshuka kutoka 5% mwaka 2022 hadi kufikia 3.4% mwaka 2023.

Akipokea taarifa hiyo Mnzava amepongeza juhudi zinazofanywa na wadau mbalimbali na wahudumu wa afya katika mapambano dhidi ya UKIMWI huku akiwataka wazazi na walezi kutoona aibu kuzungumza na watoto masuala ya elimu ya uzazi na UKIMWI.

" Tulipofika hakuna kuoneana aibu tena ndani ya familia tuwafanye watoto kuwa marafiki zetu wawe huru kusema chochote kinachowatatiza na tuzungumze nao kwa undani masuala ya makuzi na UKIMWI ."

Aidha ameitaka jamii kuunga mkono kauli mbiu ya maadhimisho hayo isemayo "jamii iongoze kutokomeza UKIMWI" kwa kujihadhari na tabia ambazo zinaweza kupelekea kupata maambukizi mapya kama vile ngono zembe na kuchangia matumizi ya vitu vyenye ncha kali wakati wa tohara na kuiasa jamii kujitokeza kupima afya ili kujua afya zao na kupata ushauri wa kitaalam kwa hali zote.

Robert Ngaiza ni mkazi wa Buswelu yeye anawasihi wanaume wenzie kujitokeza kwa wingi kupima UKIMWI kwani takwimu zinaonyesha wanaopima kwa wingi ni wanawake.

" Jamani tujitokeze kupima mambo ya kumsubiri mama akiwa mjamzito akienda kliniki apime akuletee majibu sio sawa,yale ni majibu yake yeye sio yako.Tusiogope kwani hata alieambukizwa bado ana nafasi ya kufanya vitu vingi vya kimaendeleo na kutimiza ndoto zake ikiwa utafuata ushauri wa wataalam wa afya."

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.