• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

TUSIACHE RUSHWA INYAMAZISHE TAARIFA ZA UKATILI - MCHUNGAJI BUNDALA

Posted on: October 25th, 2024

Tunayo kila sababu ya kuipinga rushwa kwani ni adui wa haki imeingia kila mahali katika jamii yetu na kuleta matatizo makubwa ambayo hadi sasa yanatugharimu kurudisha hali nzuri ya kimaadili iliyokuwepo awali.

Hayo yamesemwa na mratibu wa kamati ya maadili mkoa wa Mwanza Mchungaji Robert Bundala wakati alipokuwa akichangia mada wakati wa kikao cha uwasilishaji wa taarifa ya robo ya kwanza kwa mwaka fedha 2024/2025 ( Julai hadi Septemba) ya utekelezaji wa kamati ya kupinga ukatili kwa wanawake na watoto (MTAKUWWA) ya Wilaya ya Ilemela ambayo yeye kama kiongozi wa dini ni mjumbe.

".. Watoto wanabakwa na ndugu zao, familia zinanyamaza kwa kigezo cha kulinda heshima ya familia bila kujali madhara anayoyapata mtoto,matukio ya ulawiti yamekuwa mengi wahusika wanatoa rushwa kesi zinakosa muendelezo zinakufa.."

Mch.Bundala amewataka wazazi na walezi kuwa karibu na watoto wao na kupunguza ubize na kumrudia Mungu kwani matukio ya kikatili yanayoendelea ndani ya jamii yanahitaji hofu ya Mungu kukabiliana nayo .

Sarah Nthangu ni mratibu wa MTAKUWWA Ilemela amesema kuwa kwa kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2024/2025 kamati hiyo imefanikiwa kuwafikisha mahakamani watuhumiwa 8 ambao tayari mahakama imewatia hatiani kwa makosa ya ukatili wa kingono kwa watoto na wamepewa adhabu ya kifungo cha miaka 30 jela.

Nae Askari wa dawati la jinsia Ilemela Bi.Leah Ogutu ameomba timu yao iwe inaalikwa kwenye vikao vya shule vinavyohusisha wazazi ili kupata nafasi ya kuzungumza nao na kutoa elimu kwa wote walimu, wazazi na wanafunzi ili kuleta uelewa wa pamoja.

Daniel Andrew na Jacinda Malele ni wawakilishi wa baraza la watoto Manispaa ya Ilemela wao wanasema ipo haja ya wanafunzi kuchanganyika katika program mbalimbali za kitaaluma kuanzia ukaaji darasani ili kuwaondolea mawazo hasi ya kutamaniana jinsia moja na kuwaomba wazazi kufika shuleni kufuatilia maendeleo ya kitaaluma na mienendo mingine ya maisha ya kawaida pindi mtoto anapokuwa shuleni na nje ya shule.




















































Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.