• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

TATHMINI YA UTENDAJI KAZI KUBORESHA UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA VITUONI

Posted on: November 9th, 2023

Tathimini za utendaji kazi na mabadilishano ya uzoefu na changamoto yatasaidia uboreshaji wa utoaji wa huduma za afya katika vituo vya kutolea huduma za afya ndani ya wilaya ya Ilemela


Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wa Kamati ya huduma za uchumi afya na elimu  ya Manispaa ya Ilemela ambae pia ni Diwani wa kata ya Ibungilo Mhe Husein Magera wakati wa kikao kazi cha tathimini cha viashiria mbalimbali katika huduma za afya zinazotolewa na vitengo vinavyopatikana katika divisheni ya afya, huduma na lishe ambapo amewapongeza watoa huduma za afya manispaa ya Ilemela pamoja na kuwataka kutovunjika moyo katika kutoa huduma bora Kwa wananchi


'.. Niwapongeze maana tathimini ya utendaji kazi   wetu inatupa picha ya namna bora ya kufanya, kupitia tathimini tunabadilishana mawazo, itatusaidia namna ya kubadilishana changamoto tulizonazo, Changamoto za Sangabuye haziwezi kuwa sawa na za Buzuruga ..'


Aidha Mhe Magera amewashukuru wataalam wa sekta ya afya na kusisitiza kuwa wanafanya kazi kubwa na kwamba wanapaswa kutiwa moyo


Halikadhalika Mganga mkuu wa Manispaa ya Ilemela Daktari Marwa Samson amefafanua kuwa lengo la kikao hicho cha tathmini ni kupata uhalisia wa taarifa za utoaji huduma zinazotolewa na vituo vya afya na zahanati katika mitaa na kata walipo wananchi



Nae Katibu wa afya manispaa ya Ilemela Bi Emila Msengi amesema kuwa ipo haja ya kushawishi na kufanya zoezi la utoaji wa elimu ya afya kuwa ajenda ya kudumu katika vikao vya Kamati za  maendeleo za ngazi za mitaa na kata (WDC)


Nyabwire Lukumay ni mratibu wa huduma za mama na mtoto manispaa ya Ilemela ametaja visababishi vya vifo vya wazazi katika taarifa yake ya kuanzia Januari hadi Novemba kuwa ni wajawazito kutopata matibabu sahihi kipindi cha ujauzito, ufuatiliaji hafifu wa wajawazito wanaogundulika na vidokezo hatari pamoja na kutowafuatilia wakina mama wenye uchungu pingamizi


Leah Matondo ni mganga katika zahanati ya Nyerere kata ya Buswelu, yeye amepongeza kufanyika kwa kikao hicho cha tathimini za huduma za afya na kwamba kupitia kikao hicho ameweza kupata uzoefu mpya sanjari na kushauri utaratibu huo uwe endelevu Ili wataalam wa sekta ya afya waweze kupata uzoefu mpya na kubadilishana changamoto wanazokutana nazo katika kuhudumia wananchi


Tathimini hii kwa kipindi cha Januari hadi Novemba 2023 imelenga kuboresha na kupima utendaji kazi kwa waliofanya vizuri  na waliofanya vibaya ili kuweza kuweka mpango kazi wa mikakati kwa ajili ya maboresho katika maeneo ambayo walifanya vibaya. Sambamba na kujadili vifo vya wamama wajawazito na watoto wachanga ili kuweza kufahamu  sababu zilizopelekea vifo na kutengeneza mpango kazi wa kuboresha ili kuepukana na vifo hivyo


Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.