• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

TASAF YAENDELEA KUNUFAISHA KAYA ZA ILEMELA

Posted on: August 10th, 2022

Kaya 5848 za Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela zimeendelea kunufaika na mpango wa kunusuru kaya maskini unaoratibiwa na TASAF awamu ya tatu kipindi cha pili ambapo zaidi ya Tsh. Milioni 290 zimetolewa kwa kaya hizo.


Mratibu wa TASAF Manispaa ya Ilemela ndugu Frank Ngitaoh amewataka wanufaika wa mpango huu kutumia pesa zao kwa utaratibu mzuri ili ziweze kuwaletea manufaa kwa kuinua uchumi wao huku akiwakumbusha kuwa lengo la mradi huu ni kunusuru kaya maskini na kuwawezesha kukuza kipato cha kaya pamoja na kuendeleza rasilimali watu ameyasema hayo alipozitembelea kaya hizo


 “Huu ni mradi wa kunusuru kaya maskini ambao huwa tunafanya kwa kipindi cha miaka mitatu mitatu,wahitaji ni wengi mno ndani ya jamii yetu,nyinyi ambao tayari ni walengwa wa mradi mnapaswa kutumia kipindi chenu vizuri kwa kujiwekeza kidogokidogo kwa kadri mnavyopata angalau kuhakikisha una kitu cha kukusogeza kimaisha.” Amesema Ngitaoh


Pamoja na hayo amewataka walengwa wa mradi huu kuunda na kuboresha vikundi vyao kwa kubuni shughuli mbalimbali za uzalishaji zinazoweza kuwaletea nafuu ya maisha.


Salome Yuve Yohana ni mmoja wa wanufaika wa mpango wa kunuru kaya maskini Ilemela katika mtaa wa Nyamiswi ndani ya kata ya Sangabuye amesema kuwa toka aingie kwenye mpango anaona utofauti wa maisha aliyokuwa nayo awali na sasa.


“Kipindi cha nyuma hata kupata chakula mara tatu mimi na wajukuu zangu ilikuwa taabu,nashukuru serikali kwa kutuo na na kutuwezesha angalau kujimudu wenyewe kwa kiasi” amesema


Ameongeza kusema kuwa alijiunga, kwenye kikundi na walengwa wenzake mtaani kwao ambapo wamekuwa wakijishughulisha  na ufugaji na kukopeshana pesa ndogondogo pale mwanakikundi anapokuwa katika uhitaji naamini hadi kufikia mwisho wa mwaka nitakuwa na nafuu ya maisha zaidi ya nilivyo sasa.Mungu awazidishie.” Amesema


Katika mwaka wa fedha 2021/2022 Tshs. Bilioni 1.5 zimepokelewa kutoka TASAF kwa ajili ya kunusuru kaya maskini Ilemela





Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.