• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

TASAF MAKAO MAKUU WAPONGEZA UTEKELEZAJI MZURI WA MIRADI ILEMELA

Posted on: March 27th, 2024


Timu ya wataalam kutoka mpango wa kunusuru kaya maskini (TASAF) makao makuu ikiongozwa na mjumbe wa bodi ya TASAF taifa Dkt.Naftal Bernad Ng’ondi na kaimu Mkurugenzi wa TASAF Oscar Maduhu imetembelea baadhi ya miradi  kuona utekelezaji wake,kufahamu changamoto na kutoa ushauri na mapendekezo katika kuboresha na kuongeza ufanisi kwa wasimamizi wa miradi hiyo.

Akitoa taarifa juu ya utekelezaji wa miradi mbalimbali Mratibu wa TASAF Manispaa ya Ilemela Leonard Robert amesema jumla ya Bilioni 1.2Tshs. imetumika kwa ajili ya ujenzi na maboresho ya miundo mbinu ya elimu sekondari huku elimu msingi ikigharimu Milioni 336.7Tshs. sambamba na miradi ya afya iliyogharimu kiasi cha shilingi milioni 323.8 kuanzia mwaka 2021 hadi 2023.

“…Mradi wa shule ya mfano ya sekondari Igogwe ulipokea kiasi cha shilingi milioni 868.1Tshs kwa ajili ya miundo mbinu wezeshi 12 ikiwemo vyumba vya madarasa vinne,matundu 12 ya vyoo, maktaba, maabara, mabweni ya wavulana na wasichana, jengo la utawala sambamba na manunuzi ya samani mbalimbali…”

Dkt.Ng’ondi ametoa pongezi nyingi kwa uongozi mzima wa Ilemela kwa kazi nzuri ya ujenzi iliyokamilika na nyingine inayoendelea na kuahidi kuendelea kuunga mkono juhudi za kuleta maendeleo zaidi ndani ya Manispaa ya Ilemela.

“Natambua jitihada za Mhe.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kuboresha miundo mbinu mbalimbali ndani ya sekta ya elimu na afya kwa kuona umuhimu mkubwa,huu ni mradi maalum ni lazima ulindwe ili tupate matokeo chanya yaliyokusudiwa”  

Nae Kaimu Mkurugenzi wa TASAF Oscar Maduhu amesema miundo mbinu mizuri ni chachu ya wanafunzi kupenda kusoma na kuongeza ufaulu.

“Mbali ya mradi wa uhawilishaji fedha kwa walengwa wa kaya maskini,tutaendelea kujenga na kuboresha miradi mbalimbali ya kijamii kuleta unafuu wa maisha kwa wananchi wetu.”

Athanas Manyika ni Mwalimu mkuu wa shule ya sekondari Igogwe yeye anatoa shukrani nyingi kwa serikali huku akikiri kuwa uwepo wa miradi ya TASAF shuleni kwake umewapa heshima na kurahisisha utendaji kazi kwa waalimu na wanafunzi kuwa na ari ya kupenda kusoma kwa bidii zaidi kutokana na mazingira rafiki yaliyopo.  

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.