• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Utumishi na Utawala
        • Mipango na ufuatiliaji
        • Kilimo, Ufugaji na Uvuvi
        • Maendeleo ya Jamii
        • Elimu Sekondari
        • Elimu ya Awali na Msingi
        • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
        • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Miundombinu na Uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Vitengo
        • Mazingira na Usafishaji
        • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
        • Michezo, Utamaduni na Sanaa
        • Fedha na Uhasibu
        • Sheria
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Manunuzi
        • TEHAMA na Takwimu
        • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Shule binafsi zatakiwa kujenga uhusiano na jamii

Posted on: June 14th, 2022

Wamiliki wa shule binafsi wametakiwa kujenga uhusiano na jamii inayowazunguka kwa kuhakikisha inashiriki katika kutatua kero, changamoto na utekelezaji wa shughuli za maendeleo katika maeneo yanayowazunguka ili jamii iweze kunufaika na uwepo wao na kuona kuwa ni sehem yao jambo litakalosaidia kudumisha ulinzi kwa shule hizo kwani litaondoa chuki na uhasama baina ya jamii na shule hizo.


Rai hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa kamati ya huduma za Jamii ambae pia ni diwani wa kata ya Nyamhongolo Mhe Andrea Antony Nginila wakati wa ziara ya kamati hiyo ya kutembelea shule binafsi zilizopo ndani ya Manispaa ya Ilemela kwa ajili ya kujiridhisha juu ya ubora wa huduma zinazotolewa, uzingatiaji wa sheria, taratibu na kanuni za utoaji elimu.

‘.. Mtakapo shirikiana na jamii katika mambo tofauti wataona nyinyi ni wenzao hata namna ya kuilinda shule itakuwa ni rahisi jamii itawasaidia, Lakini kama hamshirikiani na viongozi wa maeneo yenu, hamshirikiani na jamii ni ngumu kusonga mbele ..’ Alisema

Kwa upande wake Mhe AbdulRahman Simba Diwani wa kata ya Nyasaka ambae pia ni mjumbe wa kamati hiyo amesema kuwa ziara za kushtukiza katika shule binafsi ziwe endelevu kwani zitasaidia kubaini mapungufu ya shule hizo ikiwa ni pamoja na kuzipatia ufumbuzi jambo ambalo litasaidia kuboresha sekta ya elimu ndani ya wilaya.


Nae Mkuu wa idara ya kilimo Manispaa ya Ilemela Bi Neema Semwaiko  aliongeza kwa kusema kuwa ipo haja kwa wadhibiti wa ubora wa elimu na maafisa elimu kata kujenga utamaduni wa kutembelea shule zilizopo katika maeneo yao kuzikagua na kuzisimamia vizuri ili zifuate utaratibu unaotakiwa badala ya kusubiria kamati ya huduma pekee kufanya hivyo.


Kwa niaba ya Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela, Afisa Elimu msingi Ndugu Marco Busungu ameahidi kuwa maelekezo yote yaliyotolewa na kamati hiyo yataenda kufanyiwa kazi ikiwa ni pamoja na kuweka msisitizo zaidi katika kuzisimamia shule binafsi badala ya zile za Serikali pekee.

Shule ya msingi PrinceTom na Rorya sekondari kwa kata ya Buswelu, Yusta sekondari na LowJoma  shule ya msingi kwa kata ya Nyasaka zilitembelewa.


Announcements

  • TANGAZO LA MIKOPO VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA, WATU WALEMAVU June 28, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA MTENDAJI WA MTAA November 26, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 06, 2022
  • TANGAZO LA ZABUNI STENDI MPYA YA MABASI NA MAEGESHO YA MALORI March 15, 2022
  • View All

Latest News

  • RC MWANZA AIELEKEZA ILEMELA KUFUTA HOJA ZILITOTOLEWA NA CAG

    June 20, 2022
  • Shule binafsi zatakiwa kujenga uhusiano na jamii

    June 14, 2022
  • Maadhimisho ya wiki ya mazingira duniani- Miti 100 yapandwa katika shule ya Sekondari Buswelu

    June 03, 2022
  • Shilingi Milioni 154 zakusanywa kukabiliana na changamoto ya madawati katika shule za msingi za Ilemela

    June 01, 2022
  • View All

Video

Sensa Ya watu na Makazi tarehe 23/08/2022
More Videos

Quick Links

  • Kuhakiki Taarifa za Mpiga Kura
  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip
  • Maombi ya leseni ya biashara

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.