• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

SHIRIKA LA RAILWY CHILDREN AFRICA KUENDELEA KUSHIRIKIANA SERIKALI

Posted on: March 12th, 2024

Wawakilishi wa Shirika la Railway Children Africa wamefika ofisini kwa Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Mhe Hassan kwa ajili ya kutoa taarifa na mwendelezo wa shughuli wanazofanya katika kukabiliana na ongezeko la watoto wa mitaani.


Bi Irene Wampemba ambae ni Meneja Mradi wa Shirika hilo amesema kuwa lengo la shirika hilo ni kushirikiana na Serikali katika kukabiliana na wimbi kubwa la watoto wa mitaani sambamba na kuhakikisha wanawaunganisha watoto hao na familia zao.


Aidha Bi Irene ameongeza kusema kuwa wanalenga kuimarisha mifumo ya ustawi wa jamii ambayo itawezesha kuendelea kuwatambua watoto wanaoishi mitaani kwa idadi, ambapo hadi sasa shirika hilo limeendelea kuwawezesha maafisa ustawi wa jamii wa Ilemela kuunganisha watoto na familia zao.


Nae Mhe Hassan Masala amewapongeza kwa kazi hiyo ya kujitokea na kuwahakikishia kuwa ameupokea wito huo huku akiwaahidi ushirikiano wa kutosha na kuwa iwapo zipo changamoto zozote zinazowakabili katika utekelezaji wa malengo yao basi wasisite kumshirikisha ili kuwez kupata ufumbuzi.


Aidha Mhe Masala amemuagiza Afisa Ustawi wa Jamii wa Manispaa ya Ilemela kuhakikisha anawasilisha mpango kazi hii ikiwa ni pamoja na kuyaalika mashirika yasiyo ya kiserikali ili kuweza kukutana na kuzijadili changamoto mbalimbali katika jamii hususan msuala ya ukatili.


Dionis Shimbi ni Afisa Utekelezaji wa Shirika yeye ameshukuru kwa kupokelewa na ameahidi kuendeleza ushirikiano na serikali pamoja na wadau wengine ili kuweza kufanikisha malengo yao.


Afisa Ustawi wa Jamii wa Manispaa ya Ilemela Bi Pamela Kijazi, pamoja na kulishukuru shirika hilo la Railway Children Africa kwa maono yao amewahakikishia kuwa wataendelea kushirikiana kikamilifu katika kuwatambua watoto wanaishi na kufanya kazi mtaani na kuwaunganisha na familia zao.






Announcements

  • TANGAZO LA KAZI NAFASI YA UDEREVA DARAJA LA II June 04, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • AWAMU YA KWANZA UCHANJAJI MIFUGO KUANZA TAREHE 03 JULAI, KUKU ELFU 70 KUCHANJWA

    July 02, 2025
  • KAMPENI YA KITAIFA YA UTOAJI WA MATONE YA VITAMI A YAFIKIA ASILIMIA 98.7

    June 26, 2025
  • WENZA WA VIONGOZI WATEMBELEA SEKONDARI YA IGOGWE WAPONGEZA JUHUDI ZA SERIKALI

    June 26, 2025
  • DAWATI LA HUDUMA ZA USTAWI WA JAMII KUENDELEA KUIMARISHA UTOAJI WA HUDUMA STENDI YA MABASI NYAMHONGOLO

    June 26, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.