• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

SHILINGI MILIONI 501 ZATOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WALEMAVU KWA MWAKA WA FEDHA 2018/2019

Posted on: July 11th, 2019

Halmashauri ya Manispaa ya  Ilemela kupitia Idara ya maendeleo ya jamii Kwa mwaka wa fedha 2018/2019 imefanikiwa kutoa jumla ya Shilingi 501,000,000(Shilingi Milioni mia tano na moja tu) kwa vikundi 186 vya wanawake, vijana  na  walemavu.


Kati ya vikundi hivyo, vikundi 148 vya wanawake vimepatiwa   kiasi  cha Tsh 397,000,000, vikundi vya vijana 33 vimepatiwa jumla  ya Shilingi 92,000,000 na vikundi  5 vya walemavu vimepatiwa jumla ya  Shilingi 12,000,000.


Jumla ya  fedha iliyo rejeshwa hadi sasa ni takribani kiasi  cha Shilingi  62,000,000 huku pesa zingine zikiendelea kurejeshwa kulingana na mkataba  wa marejesho wa fedha hizo.


Kikundi cha Masaligula ni mojawapo ya kikundi kinachofaidika  na mkopo huu kutoka Halmashauri kilichopo Kata ya Sangabuye  na hujishughulisha na shughuli ya mradi wa uuzaji wa dagaa pamoja na mgahawa.


Mhasibu wa kikundi hicho Bibi Elizabeth Bahati amesema kuwa hii ni mara ya pili kikundi chao kinapata mkopo huu ambapo awamu ya kwanza walipata  fedha kiasi cha Shilingi Milioni mbili na awamu ya pili wamepata mkopo wa Shilingi Milioni tatu.


Aidha aliongeza kwa kusema kuwa, mkopo huu umewasaidia kukuza biashara yao kwani hapo awali alikuwa wakilangua dagaa na kutembeza kwenye mabeseni lakini kwa sasa wanaweza kununua dagaa kwenye magunia toka kwa wavuvi  na uwauzia wanaotembeza kwenye mabeseni.Aliongeza kuwa mafanikio mengine yaliyopatikana kutokana na mkopo huu, ni  kuwa wameweza kuwasomesha watoto kupitia fedha wanazopata kupitia biashara hiyo.


Pia amewashauri wakinamama kujinga na vikundi mbalimbali ili waweze kupata mkopo huo kwani hauna riba na ni wenye masharti nafuu huku  akiwaasa wale ambao wamekuwa hawarejeshi mkopo kuhakikisha wanarejesha kwa wakati ili kujenga uaminifu.


Pamoja na hayo kwa niaba ya wanufaika wa mkopo huo,Bi Elizabeth ameishukuru serikali kwa kuanzisha utaratibu huo wa utoaji wa mkopo usiokuwa na riba kwani umewarahisishia maisha na kuwaletea maendeleo.


Fedha hii inayokopeshwa  kwa wanawake,vijana na walemavu ni  asilimia 10 ya fedha kutoka makusanyo ya ndani ya halmashauri na hukopeshwa kwa muda wa mwaka mmoja bila riba ikiwa ni utekelezaji wa Ilani ya Chama Tawala ya mwaka 2015-2020.


Announcements

  • TANGAZO LA KAZI NAFASI YA UDEREVA DARAJA LA II June 04, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • KAMPENI YA KITAIFA YA UTOAJI WA MATONE YA VITAMI A YAFIKIA ASILIMIA 98.7

    June 26, 2025
  • WENZA WA VIONGOZI WATEMBELEA SEKONDARI YA IGOGWE WAPONGEZA JUHUDI ZA SERIKALI

    June 26, 2025
  • DAWATI LA HUDUMA ZA USTAWI WA JAMII KUENDELEA KUIMARISHA UTOAJI WA HUDUMA STENDI YA MABASI NYAMHONGOLO

    June 26, 2025
  • ILEMELA YAPONGEZWA KUPATA HATI SAFI, WITO WATOLEWA KUTOZALISHA HOJA MPYA ZA UKAGUZI

    June 17, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.