• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Utumishi na Utawala
        • Mipango na ufuatiliaji
        • Kilimo, Ufugaji na Uvuvi
        • Maendeleo ya Jamii
        • Elimu Sekondari
        • Elimu ya Awali na Msingi
        • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
        • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Miundombinu na Uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Vitengo
        • Mazingira na Usafishaji
        • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
        • Michezo, Utamaduni na Sanaa
        • Fedha na Uhasibu
        • Sheria
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Manunuzi
        • TEHAMA na Takwimu
        • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Shilingi Milioni 154 zakusanywa kukabiliana na changamoto ya madawati katika shule za msingi za Ilemela

Posted on: June 1st, 2022

Fedha kiasi cha Tshs. Mil 154 zimepatikana katika chakula cha hisani kilichoandaliwa kwa lengo la kukusanya fedha kwa ajili kukabiliana na changamoto ya madawati katika shule za msingi za Ilemela.

Fedha hizo zilizopatikana zitatumika kutengeneza madawati 2200 ambapo kila dawati moja litakaliwa na watoto watatu na kila dawati litagharimu kiasi cha Tshs, 70,000.


Harambee hiyo ambayo iliandaliwa na Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Mhe. Hasan Masala na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa maendeleo ambapo Mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza ilikuwa na lengo la kupata madawati 1500


Akifungua hafla hiyo, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Robert Gabriel amempongeza Mhe. Masala kwa maono hayo ya kuwashirikisha wadau katika masuala ya maendeleo na kuwataka Wakuu wa Wilaya zingine kuiga jambo hilo.

Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela, Mhandisi Modest Apolinary alisema kuwa katika harambee hiyo Halmashauri imechangia kiasi cha Shilingi Mil. 35 kutoka katika mapato ya ndani ambapo fedha hiyo ni kwa ajili ya kutengeneza madawati 500


Announcements

  • TANGAZO LA MIKOPO VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA, WATU WALEMAVU June 28, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA MTENDAJI WA MTAA November 26, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 06, 2022
  • TANGAZO LA ZABUNI STENDI MPYA YA MABASI NA MAEGESHO YA MALORI March 15, 2022
  • View All

Latest News

  • RC MWANZA AIELEKEZA ILEMELA KUFUTA HOJA ZILITOTOLEWA NA CAG

    June 20, 2022
  • Shule binafsi zatakiwa kujenga uhusiano na jamii

    June 14, 2022
  • Maadhimisho ya wiki ya mazingira duniani- Miti 100 yapandwa katika shule ya Sekondari Buswelu

    June 03, 2022
  • Shilingi Milioni 154 zakusanywa kukabiliana na changamoto ya madawati katika shule za msingi za Ilemela

    June 01, 2022
  • View All

Video

Sensa Ya watu na Makazi tarehe 23/08/2022
More Videos

Quick Links

  • Kuhakiki Taarifa za Mpiga Kura
  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip
  • Maombi ya leseni ya biashara

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.