• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

SHILINGI BILIONI 1.29 ZAWEKEZWA MRADI WA LISHE

Posted on: September 5th, 2025

Katika kuhakikisha wananchi wa Wilaya ya Ilemela na Mkoa wa Mwanza kwa ujumla wanatumia vyakula vilivyoongezewa virutubishi ili kutokomeza changamoto ya lishe duni na udumavu, Kampuni ya Kipipa Millers Ltd imewekeza zaidi ya shilingi Bilioni 1.296 katika  shughuli za usindikaji wa vyakula vya nafaka na mhogo. 

 

Mradi huo  uliotembelewa Tarehe 26. 08. 2025 na mbio za Mwenge wa Uhuru 2025, shughuli zake kubwa nikuongeza virutubishi katika nafaka za mtama, mahindi pamojana mihogo. Bidhaa huchakatwa, huongezewa virutubishi aina ya asidi ya foliki, vitamini B 12, madini ya chuma na madini ya zinki.

 

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa Ndg. Ismail Ali Ussi ameupongeza uongozi wa Wilaya na Halmashauri kwa kuunga mkono jitihada za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kuruhusu wawekezaji wa ndani, pia ameipongeza Kampuni ya Kipipa Millers Ltd kwa kuwekeza katika Lishe na kuhakikisha afya za wana Ilemela naTanzania kwa ujumla zinaimarika.

 

Naye Ndg. Gabriel Abdon Matemu, Meneja wa uzaishaji wakampuni hiyo ameyaelezea mafanikio ya mradi huo  kuwa ni pamoja na kutoa ajira za kudumu kwa watu 14 na ajira za muda(vibarua) 12 kwa siku, Jamii, Taasisi za Umma na za Binafsihutumia bidhaa zilizoongezewa virutubishi ambapo jumla yashule 28 kati ya shule 216 sawa na asilimia 13 hununua unga wenye virutubishi ambapo hupata lishe bora na kuimarisha kinga ya mwili.

 

Pia amemshukuru Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kulipa kipaumbeleswala la Lishe kutoka ngazi ya Taifa hadi Mtaa chini ya kaulimbiu isemayo “Mtaji ni Afya yako, Zingatia unachokula”.

 

Kampuni ya Kipipa Millers Ltd inauwezo wa kuchakata tani36.5 za nafaka na tani 5 unga wa muhogo ulioongezwa virutubishi.

 

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA ASILIMIA 10 November 21, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA ASILIMIA 10 November 21, 2025
  • ORODHA MAJINA YA WATENDAJI WA VITUO WALIOTEULIWA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI MWAKA 2025 JIMBO LA ILEMELA October 20, 2025
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA VYUMBA VYA BIASHARA October 16, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • ILEMELA YAANZA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI 2026/2027

    November 25, 2025
  • "UPANDAJI WA MICHE YA MATUNDA UWE ENDELEVU";DC MKALIPA

    November 20, 2025
  • WATAHINIWA 7912 KUFANYA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE 2025 MANISPAA YA ILEMELA

    November 17, 2025
  • DC MKALIPA AHIMIZA VIKAO NA WAZAZI JUU YA MASUALA YA LISHE MASHULENI

    November 17, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.