• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

SERIKALI KUKOMESHA UKATILI KWA WATOTO

Posted on: June 16th, 2023

Serikali imedhamiria kuchukua hatua mbalimbali ili kukomesha vitendo vya ukatili na unyanyasaji kwa watoto

Hayo yamesemwa na Ndugu Joachim Otaru akimwakilisha wa Mkuu wa mkoa wa Mwanza  wakati wa kilele cha maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika kimkoa yaliyofanyika katika viwanja vya Furahisha wilayani Ilemela ambapo amesema kuwa Serikali imehuisha na kuimarisha mabaraza ya watoto katika ngazi za wilaya, kata, mitaa na vijiji ili kutoa fursa ya kuzungumza na kujadili changamoto zinazokabili watoto jambo litakalisaidia kupunguza vitendo vya ukatili

'.. Jumla ya mabaraza 210 yameanzishwa mkoani Mwanza, 1 Kwa ngazi ya mkoa, 8 kwa ngazi ya halmashauri na 154 kwa ngazi ya kata kati ya kata 191 kwa lengo la kuwaweka pamoja watoto ..' Alisema


Aidha Otaru amefafanua kuwa Serikali chini ya Rais Mhe Dkt Samia Suluhu Hasan imeimarisha  utekelezaji wa mkakati wa kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto kwa kuunda kamati za MTAKUWA katika ngazi za kuanzia mkoa, wilaya, kata hadi vijiji


Akimkaribisha mgeni rasmi, Mwakilishi wa Mkuu wa wilaya ya Ilemela ambae ni katibu tawala wa wilaya ya Ilemela Bi Mariam Msengi mbali na kushukuru na kupongeza kwa sherehe hizo za maadhimisho kufanyika ndani ya wilaya yake, Amesema kuwa Serikali inaendelea kutekeleza miradi inayomlenga moja kwa moja mtoto ikiwemo ile ya sekta za elimu na afya


Baraka Kizuri ni mwanafunzi wa darasa la Saba katika shule ya msingi Isenga amesema kuwa maadhimisho ya siku ya mtoto wa afrika ni ukumbusho wa mauaji ya kinyama dhidi ya watoto yaliyowahi kufanyika nchi ya afrika kusini hivyo kilichofanyika leo ni kuikumbusha jamii juu kutetea haki za watoto na kuzilinda


Siku ya mtoto wa afrika Kwa mwaka wa 2023 imepambwa na kauli mbiu ya 'ZINGATIA USALAMA WA MTOTO KATIKA ULIMWENGU WA KIDIJITALI '


MATUKIO MBALIMBALI KATIKA  MAADHIMISHO YA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA YALIYOFANYIKA KIMKOA KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILEMELA TAREHE 16 JUNI 2023 KATIKA VIWANJA VYA FURAHISHA


Picha Na. 1: Onyesho la Bunge la watoto

Picha na 2: Watoto wa kituo cha SOS wakionyesha onyesho lao

Picha Na. 3: Watoto wakiwa katika maandamano yaliyoanzia eneo la sheli ya Olympic Ghana kuelekea viwanja vya Furahisha

Picha Na. 4:Watoto wa kituo cha SOS wakionyesha onyesho lao

Picha Na. 5: Mwakilishi wa watoto akimsalimia Katibu tawala wa wilaya ya Ilemela

Picha Na. 6Mgeni rasmi akimkabidhi hati ya shukran Afisa maendeleo wa manispaa ya Ilemela Bi Sara Nthangu Kwa niaba ya aliyekuwa afisa maendeleo wa mkoa wa Mwanza Ndugu Ndasa alistaafu hivi karibuni

Picha Na. 7Mgeni rasmi akimkabidhi cheti cha Shukran mwakilishi wa dawati la jinsia kwa wilaya ya Ilemela


Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.