• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

SERIKALI KUKAMILISHA UJENZI KITUO CHA POLISI NYAMHONGOLO

Posted on: August 3rd, 2024

Serikali imeahidi kukamilisha ujenzi wa kituo cha polisi Nyamhongolo ili wananchi waweze kupata huduma ya ulinzi na usalama katika umbali mfupi

Hayo yamebainishwa na naibu waziri wa wizara ya mambo ya ndani ya nchi Mhe Daniel Sillo alipotembelea wilaya ya Ilemela kata ya Nyamhongolo kukagua ujenzi wa kituo kipya cha polisi ambapo akasema kuwa Serikali inaompango wa kukamilisha vituo 77 vya polisi vilivyoanza kujengwa kwa nguvu za wananchi katika maeneo mbalimbali nchini '.. Niwahakikishie kwa maelekezo ya Mheshimiwa Rais tunaenda kukamilisha vituo vya polisi vilivyojengwa kwa nguvu za wananchi na hiki kama hakipo tutaona namna ya kukimalizia Ili tuwashike mkono wananchi waweze kupata huduma ..' Alisema

Aidha Mhe Sirro amemshukuru Mbunge wa Jimbo la Ilemela Mhe Dkt Angeline Mabula kwa  kuchangia ujenzi wa kituo hicho huku akimpongeza Mkuu wa wilaya hiyo na viongozi wenzake kwa usimamizi mzuri wa miradi ya maendeleo pamoja na kuimarisha ulinzi na usalama

Kwa upande wake Mbunge wa Jimbo la Ilemela Mhe Dkt Angeline Mabula mbali na kumshukuru Rais Mhe Dkt Samia Suluhu Hasan kwa mradi wa ujenzi wa nyumba za askari katika eneo hilo uliochochea uanzishwaji wa mradi wa kituo cha polisi ameiomba serikali kusaidia jitihada za wananchi katika ujenzi wa kituo hicho kwa kuhakikisha kinamalizika

Mutafungwa W.W ni mkuu wa jeshi la polisi mkoa wa Mwanza ambapo amefafanua kuwa ukamilishaji wa kituo hicho ni muhimu kwakuwa utasaidia wananchi kupata huduma katika umbali mfupi pamoja na kupunguza mrundikano katika vituo vingine

Mkuu wa wilaya ya Ilemela Mhe Hasan Elias Masala akasema kuwa wilaya ya Ilemela iko salama hivyo kulipongeza jeshi la polisi kwa kazi nzuri ya kuimarisha ulinzi na usalama likishirikiana na vyombo vyengine vya ulinzi na usalama sanjari na kuahidi kutatua changamoto ndogo ndogo zilizo ngazi ya wilaya ili kufanikisha ujenzi wa kituo hicho cha polisi

Ujenzi wa kituo cha polisi Nyamhongolo ulianza kutekelezwa Februari 22, 2019 ukiasisiwa na Mbunge wa Jimbo hilo huku changamoto inayoukabili mradi huo ikiwa ni kuongezeka kwa bei ya vifaa vya ujenzi na gharama za ununuzi wa maji .

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.