• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

SERIKALI KUENDELEA NA JUHUDI ZA KUTUNZA NA KULEA WATOTO

Posted on: September 28th, 2024

Serikali itaendelea na juhudi za kuwatunza na kuwalea watoto kwa kutunga sheria zinazolinda watoto, kuanzisha wizara inayosimamia watoto, kutekeleza miradi inayonufaisha watoto pamoja na kutoa fursa ya ushiriki wa wadau katika kuhudumia watoto

Hayo yamebainishwa na Katibu tawala wa wilaya ya Ilemela Wakili Bi Mariam Abubakar Msengi wakati akifungua kikao kwa kundi la watu wa kuaminika kutoka manispaa ya Ilemela katika ukumbi wa hoteli ya Golden Pegion kwa ufadhili wa shirika lisilo la kiserikali la Railway Children ambapo amesema kuwa ipo sheria namba 21 ya mwaka 2009 iliyotungwa na itakayoendelea kusimamiwa kwa lengo la kusaidia watoto na kutoa fursa ya kutunza watoto kupitia watu wa kuaminika

'.. Serikali ya jemedari wetu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan  inaendelea kuweka juhudi katika kutunza na kulea watoto, Fedha nyingi zimetolewa kutekeleza miradi yenye manufaa ya moja kwa moja kwa watoto, Ilemela tumejenga madarasa kwaajili ya watoto wetu, tumejenga bweni la watoto wenye mahitaji maalum ..' Alisema

Aidha Wakili Bi Msengi ameipongeza taasisi ya shirika la Railway Children kwa namna wanavyojitoa na kutekeleza miradi mbalimbali yenye kulenga watoto na kuwaunga mkono watu wakuaminika kwa kuwapa mafunzo na vifaa ili kuwarahisishia utekelezaji wa majukumu yao pamoja na kuwaahidi ushirikiano katika kufanikisha shughuli zao za kila siku

Kwa upande wake meneja mradi huo kutoka shirika la Railway Children Bi Irene Wampembe amefafanua kuwa wao kama shirika wameamua kuunga mkono juhudi za serikali katika kuboresha huduma za malezi na matunzo ya watoto kwa kugawa magodoro, neti na mashuka kwa watu wa kuaminika ili kuwarahisishia utoaji huduma kwa watoto wanaowalea pamoja na kuishukuru wilaya ya Ilemela kwa ushirikiano inaowapa huku wakiahidi kuendelea na utatuzi wa kero na changamoto za wananchi kupitia utekelezaji wa miradi ya taasisi hiyo

Pamela kijazi ni afisa ustawi wa manispaa ya Ilemela ambapo amefafanua kuwa mafunzo hayo yamehusisha watu wa kuaminika 23 kutoka kata za manispaa ya Ilemela na wengine 8 kutoka kituo cha stendi ya Nyamhongolo .

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.