• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

SERIKALI KUCHUKUA HATUA KUDHIBITI MMOMONYOKO WA MAADILI

Posted on: May 17th, 2023

Serikali mkoani Mwanza itaendelea kuchukua hatua kali za kisheria kwa wale wote wanaojihusisha na mmomonyoko wa maadili .


Hayo yamebainishwa na Ndugu Joachim Otaru kutoka ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza wakati wa kilele cha kuadhimisha siku ya familia duniani kwa ngazi ya mkoa katika ukumbi wa halmashauri ya manispaa ya Ilemela ambapo amewataka viongozi wote wa dini na Serikali kukemea wazi wazi mmomonyoko wa maadili pamoja na kusimamia maadili kuanzia ngazi ya familia ili kuwa na jamii na taifa lenye maadili


‘.. Tunapoadhimisha siku ya familia duniani, Tunatakiwa kama familia tukae na kujadili maendeleo yetu pamoja na changamoto tunazokabiliana nazo na pia kutafuta suluhu ya changamoto hizo ..’ Alisema


Aidha wazazi wameaswa kutimiza wajibu wao kwa watoto ikiwemo kuwapatia mahitaji msingi, kumlinda mtoto dhidi ya ukatili, mimba za utotoni, ubakaji na ulawiti, kuzungumza nao mara kwa mara ili kubaini changamoto zinazowakabili ili hatua stahiki ziweze kuchukuliwa kwa wakati.


Mkurugenzi wa manispaa ya Ilemela Mhandisi Modest Apolinary amesema jamii ina wajibu wa kusimamia maadili yanayokubalika kwa watoto kwa kuhakikisha kuwa wanapata mahitaji yao ya msingi na kufuatiliwa kwa karibu katika makuzi yao ili iwe rahisi kutambua changamoto zozote punde zinapojitokeza.

Kwa upande wake moja ya mchangiaji katika maadhimisho hayo, Bi Jonathan Nyabugumba amewaasa viongozi wa dini kutumia nafasi yao katika kuikemea jamii dhidi ya vitendo vya ushoga na ulawiti huku akiishauri jamii kufichua wanaofanya vitendo hivyo ili visiendelee kujitokeza


Nae mkurugenzi wa shirika lisilo la kiserikali la Kivulini Ndugu Yasin Ally ameishauri Serikali kuchukua hatua katika kudhibiti maeneo yanayochochea vitendo vya mmomonyoko wa maadili katika wilaya ya Ilemela ikiwemo kumbi za usiku za starehe


Maadhimisho ya siku ya familia duniani yamefanyika katika wilaya ya Ilemela kwa ngazi ya mkoa wa Mwanza huku kauli mbiu ikiwa ni “ Imarisha maadili na upendo kwa familia imara.”


MATUKIO KATIKA PICHA MAADHIMISHO YA SIKU YA FAMILIA DUNIANI 






Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.