• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Utumishi na Utawala
        • Mipango na ufuatiliaji
        • Kilimo, Ufugaji na Uvuvi
        • Maendeleo ya Jamii
        • Elimu Sekondari
        • Elimu ya Awali na Msingi
        • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
        • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Miundombinu na Uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Vitengo
        • Mazingira na Usafishaji
        • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
        • Michezo, Utamaduni na Sanaa
        • Fedha na Uhasibu
        • Sheria
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Manunuzi
        • TEHAMA na Takwimu
        • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

SERIKALI KUCHUKUA HATUA KUDHIBITI MMOMONYOKO WA MAADILI

Posted on: May 17th, 2023

Serikali mkoani Mwanza itaendelea kuchukua hatua kali za kisheria kwa wale wote wanaojihusisha na mmomonyoko wa maadili .


Hayo yamebainishwa na Ndugu Joachim Otaru kutoka ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza wakati wa kilele cha kuadhimisha siku ya familia duniani kwa ngazi ya mkoa katika ukumbi wa halmashauri ya manispaa ya Ilemela ambapo amewataka viongozi wote wa dini na Serikali kukemea wazi wazi mmomonyoko wa maadili pamoja na kusimamia maadili kuanzia ngazi ya familia ili kuwa na jamii na taifa lenye maadili


‘.. Tunapoadhimisha siku ya familia duniani, Tunatakiwa kama familia tukae na kujadili maendeleo yetu pamoja na changamoto tunazokabiliana nazo na pia kutafuta suluhu ya changamoto hizo ..’ Alisema


Aidha wazazi wameaswa kutimiza wajibu wao kwa watoto ikiwemo kuwapatia mahitaji msingi, kumlinda mtoto dhidi ya ukatili, mimba za utotoni, ubakaji na ulawiti, kuzungumza nao mara kwa mara ili kubaini changamoto zinazowakabili ili hatua stahiki ziweze kuchukuliwa kwa wakati.


Mkurugenzi wa manispaa ya Ilemela Mhandisi Modest Apolinary amesema jamii ina wajibu wa kusimamia maadili yanayokubalika kwa watoto kwa kuhakikisha kuwa wanapata mahitaji yao ya msingi na kufuatiliwa kwa karibu katika makuzi yao ili iwe rahisi kutambua changamoto zozote punde zinapojitokeza.

Kwa upande wake moja ya mchangiaji katika maadhimisho hayo, Bi Jonathan Nyabugumba amewaasa viongozi wa dini kutumia nafasi yao katika kuikemea jamii dhidi ya vitendo vya ushoga na ulawiti huku akiishauri jamii kufichua wanaofanya vitendo hivyo ili visiendelee kujitokeza


Nae mkurugenzi wa shirika lisilo la kiserikali la Kivulini Ndugu Yasin Ally ameishauri Serikali kuchukua hatua katika kudhibiti maeneo yanayochochea vitendo vya mmomonyoko wa maadili katika wilaya ya Ilemela ikiwemo kumbi za usiku za starehe


Maadhimisho ya siku ya familia duniani yamefanyika katika wilaya ya Ilemela kwa ngazi ya mkoa wa Mwanza huku kauli mbiu ikiwa ni “ Imarisha maadili na upendo kwa familia imara.”


MATUKIO KATIKA PICHA MAADHIMISHO YA SIKU YA FAMILIA DUNIANI 






Announcements

  • TANGAZO LA BODI YA MFUKO WA ELIMU July 20, 2023
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA MANISPAA YA ILEMELA July 13, 2023
  • TANGAZO KWA UMMA KUKUMBUSHWA KULIPA VIWANJA June 23, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA AFISA MTENDAJI WA MTAA (II) June 20, 2023
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RC MAKALLA AWATAKA WATENDAJI KUTATUA KERO ZA WANANCHI

    September 19, 2023
  • GESI NISHATI MBADALA RAFIKI WA MAZINGIRA: MHE MABULA

    September 16, 2023
  • WANANCHI WA ILEMELA WAMETAKIWA KUFANYA USAFI KUWA AJENDA YA KUDUMU

    September 16, 2023
  • RC MAKALLA AIPONGEZA ILEMELA UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST

    September 14, 2023
  • Tazama zaidi

Video

WITO WATOLEWA KWA WANAFUNZI WALIORIPOTI KIDATO CHA TANO SHULE ZA ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Kuhakiki Taarifa za Mpiga Kura
  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip
  • Maombi ya leseni ya biashara

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.