• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

SARATANI HAINA TIBA,TUBADILI MITINDO YA MAISHA - DKT.COSMAS

Posted on: March 5th, 2025

Kaimu Mkurugenzi wa hospitali ya rufaa ya Bugando Dkt. Cosmas  Mbulwa ametoa elimu kwa wanawake wa Ilemela waliojitokeza kutembelea wodi ya kansa na kutoa msaada wa mahitaji ikiwa ni miongoni mwa shughuli walizojipangia kufanya kuelekea siku ya wanawake duniani

Akizungumza na kina mama hao wa kutoka wilaya ya Ilemela Dkt.Cosmas amesema saratani ni mgawanyiko wa seli kwenye kiungo chochote mwilini bila mpangilio unaopelekea kutokea kwa uvimbe mkubwa ambao mwanzoni hauna maumivu yoyote.

Amewataka wanawake hao kuwa na utaratibu wa kupima afya zao mara kwa mara ili kujua hali zao kwani ugunduzi wa ugonjwa huo mapema inaweza kurahisisha matibabu yake katika hatua za awali huduma inayotolewa bure katika hospitali zote za serikali.

“.. Mpaka sasa bado hakuna tiba ya saratani,tafiti bado zinaendelea. Pendeni kutumia matunda mbalimbali hasa stafeli na mazao ya mti wake kwa sababu watafiti wengi wamekuwa wakisema linasaidia kuimarisha seli za mwili katika kupambana na maradhi japo hawajasema wazi vipimo halisi vya matumizi mstafeli ..”

Akitaja vitu vinavyohisiwa kuwa vichocheo vya maradhi hayo na vinavyoweza kuepukika amesema uvutaji wa sigara,uvutaji shisha,uvutaji bangi ,unywaji pombe uliokithiri sambamba lishe mbaya isiyo na uwiano sahihi wa kiasi na mchanganyiko wa chakula,vingine ni pamoja na kuwa na uzito mkubwa.

Mkurugenzi wa shirika la Hope for youth development organization (HYDO) Bi. Anitha Dotto amesema elimu hiyo ya saratani iliyotolewa imekuwa msaada mkubwa kwao na kwamba jamii nzima bado inahitaji kujua zaidi kuhusu ugonjwa huo .

“..tumeambiwa ni ugonjwa ambao unahusisha vinasaba ,mtindo wa maisha kwa kweli jamii hasa za pembezoni zinahitaji kupelekewa elimu hii sana ,ni vigumu kwa mwananchi wa kawaida kufahamu hivi vitu..”

Vitu vilivyotolewa katika wodi hiyo ya wagonjwa wa kansa ni pamoja na pesa taslim shilingi laki 4 na mahitaji ya muhimu kama pampasi za watoto na watu wazima,smafuta ya kujipaka,dawa za meno ,ndala,miswaki,sabuni za unga na vipande ,sabuni za maji ,vyakula kama mchele ,maziwa ya unga, sukari na juisi.

 

 

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.