• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

RC MTANDA ASISITIZA UWAJIBIKAJI KWA WATUMISHI ILEMELA

Posted on: July 12th, 2024

Watumishi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela wametakiwa kuhakikisha wanatimizia wajibu wao kwa kuwa waadilifu na kuwatendea haki wananchi kwani kazi ni ibada na ni msingi wa utu.


Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda wakati akizungumza na watumishi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela kwa lengo la kujitambulisha kwao, kutoa uelekeo wa utendaji kazi sambamba na kuwakumbusha wajibu wa watumishi wa umma na kuboresha masuala ya ushirikiano, uhusiano na mawasiliano kazini


"Kazi ni msingi wa utu,na kazi ni ibada ukiifanya vizuri unafanya ibada yako vizuri na utapata malipo yako mbele za Mwenyezi Mungu,  hatuna budi kuwajibika katika nafasi tulizoaminiwa nazo kwa kufanya kazi kwa uadilifu na kutenda haki kwa wananchi"


Aidha Mhe Mtanda amesisitiza juu ya kuimarisha  suala la ushirikiano,mahusiano na mawasiliano kwa watumishi wote  kuanzia ngazi ya juu hadi ya chini ili kuweza kuleta tija katika utendaji kazi.


"Tunategemeana hivyo kila mtu apewe thamani yake kulingana na kazi yake kwani inaongeza thamani katika taasisi", amesema Mhe Mtanda.


Aidha Mhe.Mtanda amewataka watumishi wa idara ya ardhi kuwahudumia wananchi kwa haki na kwa wakati huku akisisitiza haki ya kupokelewa,kusikilizwa na kuhudumiwa kwa wateja wote.


Akitoa taarifa ya Manispaa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela Bi.Ummy Wayayu amesema kuwa Manispaa yake inao upungufu wa watumishi 1399 katika kada za afya,utawala,kilimo mifugo na uvuvi,elimu,miundombinu,viwanda na biashara pamoja na mipango na uratibu


Akihitimisha kikao hicho Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Mhe. Hassan Masala amemshukuru Mhe.Mtanda kwa kutenga muda kuzungumza na watumishi hao na kupokea maelekezo yote aliyoyatoa katika kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi.

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.