• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

NI JUKUMU LA JAMII NZIMA KUZINGATIA LISHE BORA

Posted on: September 10th, 2024

Jamii ya Ilemela imeaswa kuzingatia lishe bora kwa makundi yote ya watu kuanzia ngazi ya familia.

Hayo yamesemwa na Joyce Albert Afisa lishe wa kituo cha Afya Buzuruga wakati akiongea wananchi wa kata ya Sangabuye katika mtaa wa Igalagala katika maadhimisho ya siku ya afya ya lishe kwa mtaa (SALIM).

Bi.Joyce amewataka watu wote ndani ya jamii wenye uelewa timamu kufuatilia masuala ya lishe kwa familia nzima.

"... Watoto,kina mama wajawazito, wazee wote ni makundi yanayohitaji kupata lishe kwa kuzingatia makundi matano ya vyakula kwa kipimo sahihi,tusimuachie mama peke yake hata kina baba mna nafasi yenu katika kuhakikisha familia inapata huduma zote za kiafya ikiwemo lishe bora." 

Maadhimisho hayo ya SALIM yamekuwa ya kipekee kwa kusindikizwa na kipengele cha jiko darasa ambapo wananchi wamepata fursa ya kufundishwa kwa vitendo namna bora ya kupika lishe kamili kwa uwiano sahihi wa makundi yote ya vyakula.

Nae Mhudumu kiongozi wa huduma za afya mtaa wa Igalagala Moses Madashi amesema maadhimisho hayo yameongeza chachu ya jamii yao kuhudhuria kwenye vituo vya kutolea huduma na kupata huduma mbalimbali za afya jambo linalozidi kuimarisha afya zao.

Akihitimisha maadhimisho hayo mwenyekiti wa mtaa wa Igalagala Yulita Simon amewataka wananchi wake kuzingatia mlo kamili, watoto kupata chanjo,kina mama wajawazito kuanza kujifuatilia mapema kwa kuhudhuria kliniki punde wanapojigundua ni wajawazito na kunywa maji safi na salama ikiwa ni sehemu ya kuendelea kuwa na jamii salama yenye afya nzuri.

" Elimu na huduma za afya tulizozipata ni msaada mkubwa sana kwetu, nilikuwa nakula kushiba bila kujali vipimo sahihi vya makundi ya vyakula." Amesema Veronica Budodi mkazi wa Igalagala















Announcements

  • ORODHA MAJINA YA WATENDAJI WA VITUO WALIOTEULIWA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI MWAKA 2025 JIMBO LA ILEMELA October 20, 2025
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA VYUMBA VYA BIASHARA October 16, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -JIMBO LA ILEMELA October 14, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 July 08, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WASIMAMIZI NA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO 2879 WAAPISHWA,WAMEASWA KUZINGATIA SHERIA KANUNI NA MIONGOZO

    October 26, 2025
  • ILEMELA KUBORESHA LISHE MASHULENI, DC MKALIPA AKABIDHI MBEGU NA MBOLEA

    October 25, 2025
  • DC MKALIPA AMEWATAKA WATUMISHI IDARA YA AFYA KUENDELEA KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI

    October 24, 2025
  • KAMBI YA MADAKTARI BINGWA WA RAIS SAMIA YAANZA KUTOA HUDUMA ILEMELA

    October 20, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.