• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

"Nataka mradi anwani za makazi na postikodi uweke alama nchini"-Mhe.Nape

Posted on: January 17th, 2022

Na Paschalia George, Afisa Habari Ilemela

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya habari Mhe. Nape Nnauye (Mb) amefungua mafunzo kwa njia ya mkutano wa video “video conference”yanayohusu mfumo wa utambuzi wa kaya na maeneo mbalimbali  wa anwani za makazi na postikodi Tanzania.

Mafunzo haya yanafanyika kikanda ambapo mikoa mitatu  kwa Tanzania baraTanga ,Mbeya na Ilemela –Mwanza ni wenyeji sambamba na Zanzibar kwa upande wa Tanzania visiwani.

Akizungumza wakati wa mkutano huo Mhe. Nape amesema serikali ya awamu ya sita ya Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu inaendelea kutekeleza miradi ya kipaumbele ikiwemo mradi huu wa anwani za makazi.

“Nataka mradi wa anwani za makazi na postikodi ukaweke alama nchini kwa utekelezwaji wake wa viwango stahiki.Nitoe rai kwa yeyote mwenye mpango wa kukwamisha zoezi hili atupishe mapema atuache tutimize azma yetu njema kwa taifa letu” amesema Mhe.Nape.

Mhe.Nape ameongeza kuwa ni hitaji la serikali kuwa na mfumo huu ambao ni muhimu sana kwa jamii na serikali katika kupanga mipango ya kimaendeleo ya kiserikali sambamba na urahisi wa utoaji huduma mbalimbali za kijamii,kufungua masoko ya biashara za mtandaoni zenye tija na kama utatumika ipasavyo mfumo huo utaimarisha usalama na kuleta ajira zaidi kwa jamii yetu.

Nae Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Mhe.Hassan Elias Masala ambayo ndio wilaya wenyeji wa mafunzo haya kwa mkoa wa Mwanza amesema amepokea zoezi hilo kikamilifu na kuwahakikishia ulinzi na usalama wataalam wote wanaoshiriki zoezi katika kata zote 19 zinazounda manispaa ya Ilemela ambapo kata 4 kati ya hizo zitatumika kwa mafunzo ya vitendo kwa washiriki wote wa mafunzo haya kutoka mikoa 8 ya jirani.

Announcements

  • TANGAZO LA KAZI NAFASI YA UDEREVA DARAJA LA II June 04, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • AWAMU YA KWANZA UCHANJAJI MIFUGO KUANZA TAREHE 03 JULAI, KUKU ELFU 70 KUCHANJWA

    July 02, 2025
  • KAMPENI YA KITAIFA YA UTOAJI WA MATONE YA VITAMI A YAFIKIA ASILIMIA 98.7

    June 26, 2025
  • WENZA WA VIONGOZI WATEMBELEA SEKONDARI YA IGOGWE WAPONGEZA JUHUDI ZA SERIKALI

    June 26, 2025
  • DAWATI LA HUDUMA ZA USTAWI WA JAMII KUENDELEA KUIMARISHA UTOAJI WA HUDUMA STENDI YA MABASI NYAMHONGOLO

    June 26, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.