• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Naibu Waziri wa Ardhi asisitiza uadilifu katika matumizi ya fedha ya mradi wa ardhi

Posted on: December 2nd, 2021

Naibu waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe Angeline Mabula(MB) amesisitiza suala la uadilifu katika matumizi ya fedha za mkopo usiokuwa na riba uliotolewa na wizara ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi kwa ajili ya kutekeleza mradi wa kupanga kupima na kumilikisha ardhi(KKK).


“Fedha hiyo mliyokopeshwa ikalenge katika lengo lililokusudiwa ili kuweza kuunga juhudi za Mhe. Rais za kufikia lengo lililokusudiwa ambalo ni kuondokana na changamoto na kero mbalimbali za ardhi ikiwa ni kumuwezesha mwananchi  kumiliki ardhi kwani unapomuwezesha kumiliki kiwanja chake unampa fursa ya kupata mkopo katika benki, kuweka dhamana na uhakika na salama ya miliki yake”, alisema Mhe.Mabula


Ameyasema hayo alipokuwa katika ziara ya kikazi katika Manispaa ya Ilemela ambapo alipokea taarifa ya utekelezaji wa Idara ya ardhi pamoja na mawasilisho ya mpango kazi wa utekelezaji wa mradi wa kupanga, kupima na kumilikisha ardhi huku akisisitiza kutokuwa na kisingizio chochote katika utekelezaji wa mradi huo.

Pamoja na hayo amesisitiza suala la ushirikishwaji ili kuweza kuwa na uelewa wa pamoja kwani utaenda kurahisisha zoezi zima katika utekelezaji wa mradi huu wa upimaji ardhi na kuongeza kuwa mafanikio ya mradi huu atapelekea wizara kuwatizama vizuri zaidi.

Aidha kuhusu suala la operesheni ya madeni ya ardhi amemtaka kamishna wa ardhi kuhakikisha kuwa anaratibu zoezi hilo kwa kushirikiana na halmashauri anazozisimamia na kuhakikisha kuwa kabla ya kuanza kudai madeni hayo matangazo yanatoka kwa ajili ya kuwaelimisha wananchi.


Ndugu Elia Kamihanda ambae ni  kamishna wa ardhi ameahidi kushirikiana na Manispaa ya Ilemela katika masuala ya ardhi hususan katika  mradi  huu kwa ajili ya kupanga, kupima na kumilikisha

Takriban kiasi cha Shilingi za kitanzania Bilioni 3.6 zimekopeshwa bila riba kwa Manispaa ya Ilemela kwa ajili ya utekelezaji wa mradi huu  wa kupanga kupima na kumilikisha ardhi(KKK) uliotolewa na wizara ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi.



Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.