• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MSTAHIKI MEYA ILEMELA AMEWATAKA MADIWANI KUSIMAMIA SUALA LA USAFI MJI

Posted on: November 10th, 2022

Waheshimiwa Madiwani wa Manispaa ya Ilemela wametakiwa kuhakikisha wanakuwa makini na kuwa mstari wa mbele katika kuunga juhudi zinazoendelea za kuweka mji safi katika manispaa ya Ilemela.

Rai hiyo imetolewa na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilemela Mhe Renatus Mulunga wakati wa kikao cha baraza la madiwani cha kupokea taarifa za utekelezaji wa shughuli za maendeleo kwa kata 19.


Aidha Mhe Mulunga amezitaka kampuni zinazotekeleza shughuli za usafi na mazingira ndani ya Manispaa ya Ilemela kuhakikisha zinatekeleza wajibu wake ikiwa ni pamoja na kuwasilisha fedha za tozo za usafi za asilimia thelathini ya jumla ya kiasi chote kinachokusanywa kama inavyoelekeza sheria ndogo za ada na ushuru za Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela za mwaka 2022 .


Pamoja na hayo amewaelekeza waheshimiwa madiwani kuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha kuwa makampuni ya usafi yanawasilisha asilimia thelathini ya fedha yote inayokusanywa kupitia uzoaji taka kama sheria inavyoelekeza na kwamba manispaa haitazifumbia macho kampuni zitakazoshindwa kufanya hivyo


 “Kawaambieni wenye makampuni ya usafi katika maeneo yenu kuwa wanawajibu wa kuwasilisha ile asilimia thelathini, Na nyinyi niwaombe mkawasimamie hatutakuwa na mzaha katika hili”,  Alisema


Kuhusu ujenzi wa vyumba 110 vya madarasa unaoendelea kupitia fedha kiasi cha Shilingi Bilioni 2.2 zilizotolewa na Rais Samia, Mhe Mulunga amewahimiza waheshimiwa madiwani kushiriki kikamilifu katika shughuli za ujenzi huo ili kuunga juhudi za Mhe Rais kwa kuhakikisha kuwa fedha hiyo inatendewa haki.



Kupitia baraza hilo la Kata waheshimiwa madiwani kwa nyakati tofauti wametumia nafasi hiyo kumshukuru Mhe Samia Suluhu Hassan , Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa vyumba 110 vya madarasa katika shule 23 za sekondari katika kata 19 za Ilemela.


Nae mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela Mhandisi Modest Apolinary amewasihi madiwani na wataalam wa kata kuhakikisha wanaweka kwenye mpango wa bajeti vipaumbele vyao vya utekelezaji wa shughuli za maendeleo kwa ajili ya maandalizi ya bajeti yam waka wa fedha ujao kwani vipaumbele vyote huibuliwa kutoka kwenye kata zao.

Mkutano wa Baraza la kata hufanyika kila robo ya mwaka wa fedha ambapo waheshimiwa madiwani huwasilisha taarifa za utekelezaji katika kata zao ikiwemo na changamoto mbalimbali zinazokabili kata zao kwa kuonyesha ni namna gani wameweza kuzitatua na kwa ambazo zimeshindikana huwasilishwa kwa Mkurugenzi kwa ajili ya kuzipatia ufumbuzi.

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.