• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Mkuu wa Wilaya ya Ilemela amshukuru Rais Mhe, Samia Suluhu Hassan

Posted on: February 23rd, 2022

“Namshukuru Mhe.Rais kwa kuendelea kutoa fedha kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo ndani ya Wilaya yetu ya Ilemela ambapo zaidi ya shilingi bilioni 7 zimeshatumika kukamilisha miradi mbalimbali ikiwemo ya elimu na afya.”


Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Mhe. Hasan Masala alipokuwa akiongea na waandishi wa habari ambapo alitumia nafasi hiyo kufafanua masuala mbalimbali yanayoendelea katika Wilaya ya Ilemela.


Mhe. Masala alitumia pia nafasi hiyo kuwatoa wananchi wasiwasi juu ya zoezi linaloendelea la uandikishaji wa anwani za makazi kwani hili ni zoezi la kitaifa lililotangazwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia S.Hassan na kuwaomba wananchi kutoa ushirikiano wa kutosha kwa watendaji wanaofanya kazi hiyo.


“Nitoe rai kwa wananchi wote wa Ilemela kutoa ushirikiano kwa wataalam wanaoendelea na zoezi la anwani za makazi huko mitaani kwetu,nafahamu zoezi hili linahusisha kuandika namba katika majengo mbalimbali yaliyopo mitaani kwetu,majengo ya makazi,biashara na maeneo yaliyo wazi.Wananchi msiwe na wasiwasi hili ni zoezi la kitaifa lililotangazwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia S.Hassan.”


Aliongeza kusema kuwa Wilaya ya Ilemela imetenga siku 40 kukamilisha zoezi hili kwa kuhakikisha wananchi wote wa Ilemela wamepata namba za kuwatambulisha na baadae kuwasajiri katika mfumo wa anwani za makazi utakaowawezesha kutambulika na kuonekana duniani kote.


Mhe. Hasan Masala alihitimisha kwa kuwahamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi katika kilele cha kampeni ya usafi katika mkoa wa Mwanza ambayo ilizinduliwa na Mhe Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Robert Gabriel ambapo kilele kitafanyika siku ya tarehe 26/02/2022 katika Manispaa ya Ilemela kata ya Kirumba eneo la Mwaloni.


“Nahamasisha wananchi wote wa Ilemela kushiriki kampeni ya usafi wa mazingira iliyozinduliwa na mkuu wetu wa mkoa Mhandisi Robert Gabriel,natambua wana Ilemela usafi ni jadi yetu,kilele cha kampeni hii ni Februari 26 mwaka huu na usafi uendelee siku zote usiishie siku ya kilele.”



Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.