• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MKUU WA WILAYA YA ILEMELA AFUNGA RASMI MASHINDANO YA UMISETA NGAZI YA WILAYA

Posted on: May 27th, 2019

Daktari Severine Lalika, Mkuu wa Wilaya ya Ilemela amefunga rasmi mashindano ya UMISETA yaliyofanyka kwa muda wa siku 3 kuanzia tarehe 22hadi tarehe 24 Mwezi wa tano yaliyokuwa yakifanyika katika shule ya sekondari  ya wavulana Bwiru.

Mashindano ya UMISETA ni Umoja wa Michezo Shule za Sekondari Tanzania ambayo hukutanisha shule za sekondari mbalimbali nchini. ambapo  kwa wilaya ya Ilemela Mashindano hayo yalihusisha timu za kutoka shule za kanda nne za Bugogwa, Buswelu, Bwiru na Pasiansi ambapo jumla ya michezo 8 ilishindaniwa ikiwemo mpira wa Miguu,pete, kikapu, mikono, wavu, meza, riadha na sanaa za maonesho.


Akifunga mashindano hayo, Mkuu wa Wilaya ya Ilemela amewataka wanafunzi waliochaguliwa kuunda timu ya wilaya kwa ajili ya kwenda kushiriki mashindano ya UMISETA ngazi ya Mkoa kuhakikisha wanarudi na ushindi na kuijengea heshima wilaya yao kwa kuwa na nidhamu na weledi.


Aliendelea kwa kusema kuwa, Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais Mhe Dkt John Magufuli itaendelea kuimarisha michezo mashuleni ili kusaidia vijana waweze kujiajiri, kuimarisha afya zao na kuwaepusha kujiingiza katika mambo yasiyo faa ikiwemo vitendo vya uhalifu na matumizi ya madawa ya kulevya.


Nae afisa elimu sekondari Manispaa ya Ilemela Ndugu Emanuel Malima amemuhakikishia Mkuu wa Wilaya ushindi kwa timu hiyo inayokwenda kushiriki ngazi ya mkoa sambamba na kumshukuru mbunge wa jimbo la Ilemela Mhe Dkt Angeline Mabula kwa ufadhili alioutoa wa ununuzi wa baadhi ya vifaa vya michezo katika mashindano hayo ikiwemo jezi.

Katika mashindano hayo kwa mwaka huu wa 2019 Timu ya Kanda ya Bugogwa iliibuka mshindi wa jumla wa mashindano ikiwa ni miaka miwili mfululizo ikifuatiwa na timu ya kanda ya  Pasiansi, Bwiru na wa mwisho Buswelu kisha kukabidhiwa kombe la jumla la ushindi kama zawadi.




Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.