• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MKUU WA WILAYA ILEMELA ATOA TAHADHARI KUHUSU KIRUSI CHA KORONA

Posted on: March 23rd, 2020

Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Mhe.Mathias Severine Lalika ametoa tahadhari kwa wananchi wa Ilemela alipotembelea katika eneo la kituo tengefu “Isolation centre”lililopo ndani ya kata ya Kahama iliyopo wilayani Ilemela.

Mkuu wa wilaya ya Ilemela  Mhe. Severine Mathias Lalika akinawa mikono ikiwa ni moja ya kujikinga na virusi vya Korona

Akizungumza katika eneo tengefu kwa ajili ya wagonjwa wa watakaoathiriwa na virusi vya Corona “COVID-19” Mhe .Lalika ametoa tahadhari kwa wakazi na wageni wanaoingia Wilayani  Ilemela juu ya  kujikinga na virusi vya Corona kuwa wanatakiwa kudumisha usafi kwa kunawa mikono mara kwa mara kwa maji safi na sabuni na kupenda kutumia vitakasa mikono “sanitizer” ,kufunika mdomo na pua wakati wa kukohoa au kupiga chafya kwa kutumia kitambaa chepesi au kwenye nguo uliyovaa sehemu ya mkono.


Aidha amezitaka taasisi zote za umma ndani ya Wilaya ya Ilemela kuweka maji safi yanayotiririka katika maeneo ya kutolea huduma zao mbalimbali.


Sambamba na hilo Mhe.amewataka wakazi wa Ilemela kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima kama vile misiba,harusi ,vikao vya kijamii,ibada misikitini na makanisani huku akishauri ushiriki wa watu wachache katika matukio ya lazima kama misiba.


“Mabanda wanayoonyesha video,mipira na sinema waache mara moja maana ni maeneo hatarishi kwani yanaruhusu kusambaa kwa kasi maambukizi ya virusi vya corona.”Alisisitiza Mhe.lalika.


 Pamoja na hayo Mkuu wa Wilaya, amewataka watumiaji na wamiliki wa usafiri wa umma kupakia abiria sawa sawa na uwezo wa chombo husika “level seat”na abiria waepuke kupanda magari yaliyojaa kupita kiasi.


Aidha alitumia fursa hiyo kuwapongeza na kuwatia moyo wataalam wa afya kwa namna wanavyojitoa  kwa ajili ya kuokoa maisha ya wagonjwa watakaobainika kuwa na virusi hivi vya corona kwani ni kazi ngumu ambayo inahitaji kujitoa zaidi, alisema kuwa serikali inatambua hilo na tupo pamoja katika kufanikisha hili.


Mhe.Lalika amehitimisha kwa kuwataka wananchi wote kufuatilia kwa karibu juu ya afya zao na kufuata maelekezo ya wataalam wa afya katika kujilinda na maambukizi ya virusi vya corona. “Kinga ni bora kuliko tiba”



Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.