• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Mkurugenzi Ilemela awataka wazazi kutenga muda wa kuwa karibu na watoto wao

Posted on: November 18th, 2021

Na Paschalia George, Ilemela

Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela Mhandisi Modest Apolinary ambae pia ni mwenyekiti wa kamati ya Mpango wa kitaifa wa kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto (MTAKUWWA) katika Manispaa ya Ilemela amewataka wazazi kuona thamani ya watoto wao kwa kutenga muda wa  kuwa nao karibu kipindi cha makuzi yao na kuwapa malezi bora.


“Wazazi  tumekuwa hatuna muda wa kukaa na watoto wetu kwa kisingizio cha kutafuta pesa,tutenge muda wa kuongea na watoto mara kwa mara ,tuache kupeleka watoto wadogo shule za bweni kwani bado wanahitaji malezi ya mzazi kwa karibu, amesema


Mhandisi Modest ameyasema hayo katika kikao cha kujadili mikakati mbalimbali ya namna ya kutokomeza ukatili wa kijinsia huku akisisitiza suala la kuendelea kutoa elimu katika maeneo yote ndani ya Ilemela, maeneo ya mikutano , ibada,shuleni mikutano ya hadhara sambamba na elimu za uelewa wa kawaida ndani ya kaya.

Katika nyakati tofauti, wawakilishi wa viongozi wa dini Ilemela wameendelea kukemea vitendo vyote vya kikatili vinavyotendwa kwa kina mama na watoto na kuitaka jamii kuacha mara moja kwani ni kinyume cha maadili ya imani zetu za dini.


“Hatutaacha kukemea vitendo hivi kwani nasi tunatambua tunayo nafasi kubwa katika kupaza sauti zetu kwa waumini wetu katika nyumba za ibada.Vitendo vya ulawiti vimekithiri sana katika jamii yetu ni tamaduni mpya ambayo wakati mwingine hata sisi viongozi wa dini tunaumia sana kuona jamii tena watoto kujihusisha katika uchafu huu.” amesema Shekhe Sululu Salum mwakilishi wa viongozi wa dini ya Kiislam Ilemela.


Nae mwakilishi wa madhehebu ya kikristo Ilemela mchungaji Robert Bundala amesema “Tunaungana na jamii ya Ilemela katika kutokomeza kabisa vitendo vya unyanyasaji japo tunatambua hata katika dini zetu wapo watu wanaohubiri mafundisho potofu na wakati mwingine viongozi haohao wa dini kuwa vinara katika kufanya ukatili huu kupitia imani zetu.Sisi viongozi wa dini tutaongea kwa nafasi yetu.


Kamanda wa polisi Wilaya ya Ilemela Elisante Ulomi ameitaka jamii ya Ilemela kupaza sauti juu ya matukio yote ya unyanyasaji yanayojitokeza ndani ya jamii


“Msiogope sisi vyombo tupo kwa ajili ya kuwalinda raia na mali zenu,kufichiana siri na kuogopana ni kuongeza tatizo ndani ya jamii yetu.Tusimame imara kutetea mama zetu,mabinti zetu,watoto wetu na jamii kwa ujumla, amesisitiza hilo.

Manispaa ya Ilemela imeendelea kusimamia na kufuatilia kwa karibu shughuli za Mpango wa kitaifa wa kutokomeza ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto (MTAKUWWA) kwa kutambua kuwa wanawake na watoto ndio kundi waathirika zaidi na vitendo vya ukatili na unyanyasaji  wa kijinsia kuliko makundi mengine ndani ya jamii.



Announcements

  • ORODHA MAJINA YA WATENDAJI WA VITUO WALIOTEULIWA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI MWAKA 2025 JIMBO LA ILEMELA October 20, 2025
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA VYUMBA VYA BIASHARA October 16, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -JIMBO LA ILEMELA October 14, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 July 08, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WASIMAMIZI NA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO 2879 WAAPISHWA,WAMEASWA KUZINGATIA SHERIA KANUNI NA MIONGOZO

    October 26, 2025
  • ILEMELA KUBORESHA LISHE MASHULENI, DC MKALIPA AKABIDHI MBEGU NA MBOLEA

    October 25, 2025
  • DC MKALIPA AMEWATAKA WATUMISHI IDARA YA AFYA KUENDELEA KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI

    October 24, 2025
  • KAMBI YA MADAKTARI BINGWA WA RAIS SAMIA YAANZA KUTOA HUDUMA ILEMELA

    October 20, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.