• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Mkurugenzi Aasisitiza suala la ushirikiano Ilemela

Posted on: October 18th, 2021

Mhandisi Modest Apolinary Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela amesisitiza suala la ushirikiano ili kuweza kufikia malengo yaliyowekwa kwani mawazo ya wengi hutoa majibu mengi.

“Ushirikiano wetu utatufikisha tunapopataka, kwani ni vizuri kufanya kazi kwa kushirikiana na mawazo ya wengi hutoa majibu mengi”,alisema

Ameyasema hayo alipotembelea eneo la soko la Bujingwa, alipokuwa katika ziara ya kikazi ya ukaguzi wa shughuli mbalimbali za maendeleo katika kata ya Buswelu.

Pamoja na hayo amesisitiza suala la kutokuruhusu migogoro ya mipaka ya ardhi kuturudisha nyuma kimaendeleo hasa katika maeneo ya shule kwa kutambua kuwa shule ni muhimu kwa watoto.

“Tusiruhusu migogoro ya mipaka ya ardhi iturudishe nyuma kimaendeleo,tunatambua kwamba shule ni muhimu kwa watoto wetu”, alisisitiza.

Mhe.Sara Ng’wani, ambae ni diwani wa kata ya Buswelu alitumia ziara hiyo kumueleza mkurugenzi suala la ukamilishaji wa ujenzi wa daraja ambalo linatenganisha kata ya Kiseke na Buswelu kwani limekuwa likileta maafa kutokana na ubovu wa daraja hilo.

Pamoja na hayo alishukuru kwa kuanza kwa ujenzi wa shule ya msingi kwa nguvu za wananchi lakini pia kufufua soko la Bujingwa kwani litaleta nafuu ya maisha kwa wakazi wa hapa, amesema Mhe Sarah

Akijibu changamoto hizo zilizotolewa na Mhe.Sarah, Mkurugenzi amesema hakuna changamoto zisizo na utatuzi ni suala la kukaa pamoja kuelekezana na kueleweshana na kupata muafaka wenye tija.

Kuhusu suala la maboresho ya soko na ombi la ujenzi wa zahanati eneo lililokuwa josho la mifugo ameshauri kuwa iandaliwe  michoro na bajeti yake ili kuweza kuona tunajipangaje kukamilisha hili ikibidi hata kuwashirikisha wadau mbalimbali kwani lengo letu ni kufanikisha.’’ Alisema

Miongoni mwa maeneo yaliyotembelewa ni ujenzi wa shule mpya ya msingi Bujingwa, eneo la josho Bujingwa,soko la Bujingwa,baadhi ya maeneo yanayostahili kulipwa fidia eneo la mbogamboga barabara ya Buswelu – Nyamadoke .  

Mkurugenzi ameendelea na ziara za kawaida kwa ajili ya kutambua maeneo na miradi mbalimbali inayotekelezwa ndani ya manispaa ya Ilemela sambamba na kufuatilia mienendo ya utekelezaji wa majibu ya kero mbalimbali za wananchi zinazoendelea kupokelewa na kujibiwa.



Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.