• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MKATABA WA LISHE WASAINIWA: WATENDAJI WA KATA WATAKIWA KUUSIMAMIA KIKAMILIFU

Posted on: November 23rd, 2022


Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela Mhandisi Modest Apolinary amewataka watendaji wa kata kuhakikisha kuwa wanausimamia kiukamilifu mkataba wa lishe waliosaini wito huo umetolewa wakati wa zoezi la kusaini mkataba huo


Akifafanua maana ya kusaini mkataba huo, Mhandisi Modest amesema kuwa ni kuhakikisha udumavu unakwisha kabisa katika Manispaa ya Ilemela kwa kuwafuatilia wakinamama na kuhakikisha kuwa wanafuata taratibu zote za lishe ambapo amebainisha kuwa katika mwaka wa fedha 2022/2023 Ilemela imetenga kiasi cha Shilingi milioni 88 kwa ajili ya utekelezaji wa afua za lishe.


“Maana ya kusaini hii mikataba kwenye ngazi za chini ni kuhakikisha wakina mama wanafuata taratibu zote na kama kwenye mtaa kuna mama ana mtoto mwenye unyafuzi  taarifa iwasilishwe ili wapate chakula chenye virutubisho pamoja na kuwafundisha kuandaa chakula, haya  ni maelekezo ya Mhe Rais hivyo kila mmoja akawajibike kwa hilo”, amesema Mhandisi Modest


Aidha ameongeza kusema kuwa kupitia bajeti ya mwaka 2022/2023 ya Ilemela iliyotengwa kwa ajili ya masuala ya lishe ameelekeza kuwa asilimia 60 ya fedha hizo  zikasaidie watoto wenye unyafuzi wa hali ya juu na fedha zisilipe posho bali zikatumike kununua vyakula vya lishe na tiba kwa ajili ya watoto hao ili Ilemela ifute kabisa unyafuzi.


Nao watendaji wa kata kupitia mwakilishi wao ndugu Mponeja katemi, mtendaji wa kata ya Kayenze wameahidi kwenda kuutekeleza mkataba wa lishe kama ambavyo mhe Rais ameelekeza huku wakitambua kwamba rasilimali za kuetekeleza mkataba huu zipo ndani ya jamii zetu kwa kushirikiana na Halmashauri kupitia bajeti ya mwaka wa fedha 2022/2023


Paulina Machango ambae ni afisa lishe wa Manispaa ametoa rai kwa watendaji wa kata kuhakikisha kuwa wanawatumia wahudumu wa afya ngazi ya jamii ambao wamewezeshwa kufanya kazi katika jamii katika kutoa elimu ya lishe kwa wajawazito, wanaonyonyesha na wazazi au walezi wa watoto chini ya miaka mitano


Mkataba huo wa lishe unalenga kuhakikisha kuwa hali ya lishe inaboreka pamoja na kupunguza atahari za utapiamlo katika jamii. Sambamba na kuhakikisha kuwa jamii kupitia uongozi wa kata inashiriki ipasavyo katika kupanga, kutekeleza na kufuatilia maendeleo ya utekelezaji wa mpango wa halmashauri na afua za lishe.



Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.