• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MKANDARASI NYANZA ROAD WORKS ATAKIWA KUONGEZA KASI YA UJENZI WA BARABARA

Posted on: July 9th, 2024

Mbunge wa Jimbo la Ilemela, Mhe. Dkt Angeline Mabula amemtaka mkandarasi wa kampuni ya Nyanza Road Works anaejenga barabara ya Buswelu-Nyamadoke-Nyamhongolo kuongeza kasi ya ujenzi wa mradi huo ili uweze kukamilika kwa wakati na ubora unaotakiwa na wananchi waweze kupata huduma za mawasiliano


Mhe Mabula ametoa rai hiyo wakati wa ziara yake ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo ndani ya Jimbo hilo pamoja na kusikiliza kero za wananchi katika kata ya Nyamhongolo.


'.. Nimeridhishwa na hatua za ujenzi wa mradi isipokuwa nimuombe mkandarasi kuongeza kasi yake ya ujenzi pamoja na kuzingatia ushauri tunaoutoa ikiwa ni pamoja na kutatua kero zinazolalamikiwa na wananchi katika mradi huu kama uwekaji wa njia za mchepuko ..' Alisema


Kwa upande wake mratibu wa miradi ya kimkakati na uendelezaji wa majiji TACTIC wilaya ya Ilemela Mhandisi Juma King'ola amefafanua kuwa mpaka sasa mradi huo umefikia asilimia 28.72 na kwamba mradi wote utagharimu kiasi cha shilingi bilioni 23.49 na unatarajiwa kukamilika mnamo februari 2025 na mpaka sasa mkandarasi ameshalipwa shilingi bilioni 3.5


Juma Maro ni Mhandisi mkadiriaji majenzi ambae pia ni mwakilishi wa mkandarasi anaetekeleza mradi huo kampuni ya ujenzi Nyanza ambapo amesema kuwa utekelezaji wa mradi huo ulikabiliwa na changamoto za mvua, uchelewaji wa uhamishaji wa miundombinu ya maji na umeme pamoja na mabadiliko ya mara kwa mara ya baadhi ya michoro kulingana na uhitaji wa wakati huku akiahidi kukamilisha kwa wakati mradi huo


Nae diwani wa kata ya Nyamhongolo Mhe Andrea Nginila mbali na kuishukuru Serikali kwa mradi huo amelalamikia vumbi wakati wa ujenzi wa mradi linalosumbua wananchi wake pamoja na kutokuwepo kwa njia za mchepuko za kutosha hivyo kuomba kuongezwa


Mradi wa ujenzi wa barabara za Buswelu-Nyamadoke-Nyamhongolo na Buswelu-Busenga-Cocacola zenye urefu wa kilomita 12.8 ulianza kutekelezwa mapema mnamo Novemba 19, 2024 kwa ufadhili wa benki ya dunia kupitia mpango wake wa uboreshaji miundombinu ya miji Tanzania (TACTIC)


Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.