• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MKURUGENZI ALIPOFANYA ZIARA KWA AJILI YA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI KATA YA BUGOGWA

Posted on: November 21st, 2017

Mnamo tarehe 17/11/2017, Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela alifanya ziara katika kata ya Bugogwa kwa ajili ya kusikiliza kero mbalimbali za wananchi halikadhalika kuelezea wananchi mipango ya halmashauri katika kuwaletea maendeleo.

Akizungumza na wananchi wa kata hiyo aliitaja miradi mbalimbali inayoendelea pamoja na shughuli zinazoendelea kutekelezwa katika kata ya Bugogwa ikiwemo zoezi la urasimishaji makazi, ujenzi wa majengo ya zahanati ya Karume katika kuhakikisha huduma za afya na huduma za mama na mtoto zinaimarika pamoja na mradi mkubwa wa usambazaji maji unaoendelea na kuwafafanulia juu ya hatma ya mradi wa umeme wa vijijini REA unaoendelea kutekelezwa katika vijiji vya kata hiyo.


Aidha aliwataka wananchi kuendelea kumuunga mkono Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Daktari John Magufuli, Mbunge wa jimbo la Ilemela mheshimiwa Daktari Angeline Mabula na madiwani katika usimamizi wa miradi mbalimbali inayoendelea ili kuweza kufanikisha ukamilikaji wa miradi hiyo.

Pamoja na hayo aliahidi mifuko ya Saruji na Nondo kwa ajili ya ujenzi wa daraja kwa wananchi wa mtaa Igombe B iwapo nao watachangia mawe ya ujenzi wa daraja hilo.


Kwa upande wake diwani wa kata ya Bugogwa mheshimiwa William Mashamaba mbali na kuishukuru Serikali ya awamu ya tano kwa utekelezaji wa miradi hiyo ya maendeleo katika kata yake amewahakikishia ushirikiano katika kuhakikisha inafanikiwa tena kwa wakati huku akiwataka wananchi wake kufuata sheria na taratibu ili kujiepusha na usumbufu usiokuwa wa lazima.


Akihitimisha mkutano wa ziara hiyo Mstahiki Meya wa manispaa ya Ilemela ambae pia ni diwani wa kata Sangabuye mheshimiwa Renatus Mulunga amewakumbusha wananchi hao juu ya umuhimu wa kuchangia shughuli za maendeleo ikiwemo utaratibu wa manispaa yake wa kusaidia kumalizia miradi inayoanzishwa na wananchi wenyewe huku akitolea mfano wa kuezekwa kwa msaada wa manispaa kwa jengo litakalokuwa limefikia hatua ya boma litakalojengwa kwa nguvu za wananchi.

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.