• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MITAA 15 ILEMELA KUNUFAIKA NA UMEME WA REA

Posted on: July 24th, 2024

Jumla ya mitaa kumi na tano ikiwemo Butindo, Chabakima, Ibaya, Bulyang'hulu, Mwakalundi, Masemele, Igogwe, Kimanilwentemi, Nkoronto, Isanzu, Bujingwa, Nyashimba, Bujimile na Nyanguku inayopatikana Manispaa ya Ilemela jijini Mwanza inatarajiwa kunufaika na mpango wa usambazaji umeme vijijini REA .

Hayo yamesemwa na Mbunge wa Jimbo la Ilemela Mhe. Dkt.Angeline Mabula wakati wa ziara yake ya kusikiliza kero za wananchi na kutoa mrejesho wa mipango ya maendeleo itakayotekelezwa na Serikali baada ya kuisha kwa vikao vya bunge la bajeti katika mkutano wake wa hadhara uliofanyika viwanja vya Winter fall kata ya Nyasaka ambapo amefafanua kuwa licha ya Ilemela kuwa manispaa bado itanufaika na mpango wa usambazaji umeme vijijini kwa kuwa baadhi ya maeneo bado yana sura ya vijiji.

'.. Ilemela ina sura ya kijiji, na Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hasan akaliona hilo na ameridhia na sisi tupate umeme wa REA, Tumshukuru sana Rais wetu ..' Alisema

Aidha Dkt. Mabula akaongeza kuwa manispaa ya Ilemela kupitia mapato yake ya ndani inao mpango wa kujenga kituo kipya cha afya chenye thamani ya zaidi ya milioni 250 katika kata ya Ibungilo.

Kwa upande wake diwani wa kata ya Nyasaka Mhe. AbdulRahman Simba ameishukuru Serikali kwa kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ndani ya kata yake ikiwemo milioni mia mbili zilizotumika kwa ajili ya ujenzi wa madarasa na madawati katika shule ya sekondari Nyasaka, milioni 38 ujenzi wa daraja la Nyamuge, milioni 880 ujenzi wa barabara ya mawe ya Kiloleli 'B' yenye urefu wa km 1.3 na milioni 130 kwaajili ya ujenzi wa barabara ya Chamwenda sanjari na kumpongeza Mbunge wa Jimbo hilo kwa namna anavyoshirikiana nae.

Nae afisa mipango miji wa Manispaa ya Ilemela Chigulu Kennedy amewataka wananchi kufuatilia hati za malipo za upimaji shirikishi Ili waweze kumilikishwa viwanja vyao pamoja na kuahidi kuyasimamia makampuni yote yanayofanya upimaji ndani ya manispaa ya Ilemela ili wananchi waweze kupimiwa kwa wakati na kumilikishwa .

Daud Chitongolo na Bi. Fatna Swalehe ni wakazi wa kata ya Nyasaka Kwa nyakati tofauti wamelalamikia uvamizi wa mipaka katika maeneo yao na zoezi la upimaji shirikishi kuchelewa hivyo kuiomba Serikali kuyafuatilia makampuni yaliyofanya kazi hiyo katika maeneo yao kwa ajili ya ufumbuzi wa kero zao.

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.