• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MISENYI NA MISUNGWI ZA ZURU ILEMELA KUJIFUNZA

Posted on: May 4th, 2017


Halmashauri ya Misenyi na Misungwi zimezuru manispaa ya Ilemela kujifunza namna manispaa hiyo inavyotekeleza shughuli zake za kimaendeleo hasa katika masuala yanayohusu mipango miji, mapato na utekelezaji wa miradi na mipango yake


Ziara hiyo imejumuisha wataalamu wa halmashauri hizo na madiwani wake ikiongozwa na mwenyekiti wa Misenyi mheshimiwa Projestus Tegamaisho na mkurugenzi wake Limbe Bernald ambapo mbali na kufurahishwa na mapokezi mazuri amesema kuwa lengo la ziara ni kujifunza namna Ilemela inavyofanya shughuli zake sambamba na kuimarisha uhusiano baina ya pande hizo mbili kwa lengo la kuboresha utoaji huduma na kuleta maendeleo huku wakitumia gharama nafuu

‘… Ilikuwa ni ghafla lakini kwa bahati nzuri mmetupokea vizuri na kutupatia ushirikiano mkubwa, Lengo la ziara yetu ni kujifunza namna mnavyotekeleza shughuli zenu za kimaendeleo hasa kwenye mapato, mipango miji, miradi na mipango kama tulivyoona huu uzio wenu imara, bora na wakisasa  tumesikia kuwa mmetengeneza kwa fedha za mapato ya ndani na kwa gharama nafuu hii inatufanya kujifunza namna mnavyosimamia mapato yenu ...’ alisisitiza


Aidha ziara hiyo ilihusisha matembezi ya baadhi ya miradi inayotekelezwa na Ilemela ikiwemo mradi wa bweni la wasichana la shule ya sekondari Buswelu, mradi wa ujenzi wa madarasa ya shule ya msingi Buswelu na mwalo wa soko la kirumba vikitanguliwa na kikao cha pamoja cha wataalamu wa manispaa hizo na madiwani wake


Kwa upande wake mwakilishi wa Meya wa manispaa Ilemela ambae pia ni diwani wa kata ya Buswelu yalipo makao makuu ya wilaya mheshimiwa Sarah Ng’wani ameshukuru kutembelewa na ugeni huo huku akitaka kuimarishwa kwa mahusiano ya pande hizo

‘…Ili tubadilishane mawazo wewe mwenzangu unafanyaje ni lazima tukae pamoja wataalamu wetu wamejipanga vizuri mjifunze na kupata picha halisi ya kinachotendeka ili kama kuna pahala mnakosea au tunakosea kwa pamoja tuweze kufanikisha …’ alisema


Akihitimisha mkurugenzi wa manispaa Ilemela ndugu John Wanga amezikaribisha pia manispaa nyengine kuja kujifunza  na kuwahakikishia kuwa pamoja na upya wake Ilemela itaendelea kuwa manispaa ya mfano na kuigwa katika utekelezaji wa shughuli za kimaendeleo

‘… Ilemela ni manispaa mpya tunawakaribisha sana kujifunza iwe shughuli zetu za ndani au za nje …’ alihitimisha



Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.