• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MIRADI SABA (7) YENYE THAMANI YA SHILINGI ZA KITANZANIA 2,094,893,888.90 YATEMBELEWA NA MWENGE WA UHURU 2017

Posted on: August 28th, 2017

MIRADI SABA (7)  YENYE THAMANI  YA SHILINGI ZA KITANZANIA 2,094,893,888.90 YATEMBELEWA NA MWENGE WA UHURU 2017


Wilaya ya Ilemela iliupokea Mwenge wa Uhuru mnamo tarehe 21/08/2016 katika kata ya Nyakato eneo la uwanja wa Kingunge ukitokea Wilaya ya Nyamagana  na kuukimbiza kwa siku moja umbali wa kilometa 51.9 na kisha kuukabidhi Wilaya ya Ukerewe siku ya tarehe 22/08/2017.


Ukiwa Wilayani Ilemela, Mwenge wa Uhuru 2017, ulifungua, ulizindua, ulikagua na kuweka jiwe la msingi. Jumla ya miradi iliyopitiwa na Mwenge ni saba(7) yenye thamani ya shilingi za kitanzania 2,094,893,888.90, thamani ya miradi hii imetokana na michango ya serikali kuu Tshs. 1,306,758,024.90, Wananchi Tshs. 33,341,243.00, Halmashauri Tshs. 84,400,000.00 na wahisani Tshs. 670,394,621.



Mwenge wa Uhuru 2017, uliweka jiwe la msingi kwenye mradi wa ujenzi wa bweni la wasichana katika shule ya sekondari ya buswelu.Mradi huu umegharimu kiasi cha Tsh.91,569,710.20 ikiwa ni fedha kutoka serikali kuu halmashauri,nguvu za wananchi na wahisani.Pia katika shule hiyo uliweza kukagua klabu ya wapinga rushwa.


Mradi mwingine uliotembelewa na Mwenge wa Uhuru 2017 ni ujenzi wa tanki la maji nyamadoke ambapo uliweka jiwe la msingi.Mradi huu hadi hatua ilipofikia umegharimu kiasi cha Tsh.1,156,603,085.70 ikiwa ni fedha kutoka serikali Kuu,halmashauri na nguvu za wananchi.wakiwa katika mradi huu wamehimiza kuwa mradi ukamilishwe ili kuweza kutatua changamoto ya maji katika eneo hilo.

Ukiwa Wilayani Ilemela Mwenge wa Uhuru ulikagua shamba la mkulima wa mfano lililopo kata ya shibula lililoanzishwa kwa madhumuni ya kujipatia kipato pamoja na kuhifadhi mazingira.Mradi huu ambao ulianza mwaka 2012 kwa sasa umeanza kutumika kama mfano kwa wakulima wengine wa ndani na nje ya Manispaa ya ilemela.


Katika kata ya shibula Mwenge ulifanya ufunguzi wa zahanati ya Buganda ambayo hadi kukamilika imegharimu kiasi cha Tshs. 133,776,472.00 ikiwa ni fedha kutoka serikali kuu halmashauri na nguvu za wananchi.Ukiwa katika zahanati hiyo Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru alitoa vyandarua na dawa za malaria kwa wamama wajawazito ikiwa ni harakati za kupambana na malaria.Pamoja na hayo mkimbiza mwenge aliwataka wahudumu wa zahanati hiyo kutoa huduma bora na kwa usawa na kuwataka wananchi kuitunza zahanati hiyo.


Katika kata ya Pasiansi, Mwenge wa Uhuru ulizindua ofisi ya mtendaji wa kata hiyo.mradi huo umegharimu kiasi cha Tshs.44,800,000.00 ikiwa ni fedha za halmashauri pamoja na nguvu za wananchi.Aidha kiongozi wa mbio za mwenge aliwataka watumishi wa kata hiyo kutoa huduma bora kwa wananchi kwa kuzingatia taratibu za kazi pamoja na hayo aligusia suala la utatuzi wa migogoro kuwa lianzie ngazi ya kata.

Mwenge wa Uhuru ulifanya ukaguzi katika kituo cha kusaidia waathirika wa dawa za kulevya katika kituo cha pili Missanah foundation.Katika kituo hicho alishauri halmashauri kuendelea kushirikiana na kituo hicho aidha alikabidhi msaada wa chakula kwa kituo hicho kilichonunuliwa na Mkurugenzi wa Manispaa.

Mradi wa mwisho ulikuwa wa ujenzi wa barabara ya mawe ya kawekamo, mradi huu uliogharimu kiasi cha Tshs.464,244,621.00 fedha ya wahisani ulizinduliwa na kiongozi wa mbio za mwenge na kisha kuwataka wananchi kufuata sheria za usalama barabarani.


Mwenge wa Uhuru 2017 umekimbizwa wilayani Ilemela ukieneza Kauli mbiu isemayo "Shiriki kukuza uchumi wa viwanda kwa maendeleo ya nchi yetu".

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.