• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MIKOPO YA ASILIMIA 10 INAVYONUFAISHA VIJANA ILEMELA

Posted on: December 16th, 2022

“Ni wakati wa vijana kuamka na kuacha kukaa vijiweni kupoteza muda bila kazi yoyote,zipo fursa nyingi zinazotolewa na Halmashauri ikiwemo mikopo ya asilimia 10 inayojumuisha makundi matatu ambayo ni vijana 4%,wanawake 4% na walemavu 2%.”

Hayo yamesemwa na Afisa uvuvi wa Manispaa ya Ilemela Ivon Maha wakati wa zoezi la uvunaji samaki kwa awamu ya kwanza kwa vikundi vya vijana vya CHAPAKAZI na CATFISH wanaojihusisha na shughuli za uvuvi wa vizimba katika mtaa wa Igalagala ndani ya kata ya Sangabuye.

Maha amesema shughuli hii ya ufugaji wa samaki kwa kutumia vizimba ni mradi wa kiubunifu uliobuniwa na vijana wenyewe na kuungwa mkono na wataalam wa uvuvi wa Manispaa mpaka kufikia hapa huku akiwataka vijana zaidi wajitokeze kufanya kazi za namna hii.

“Vijana mjitokeze kufanya shughuli mbalimbali za uzalishaji nataka niwatie moyo kuwa shughuli za namna za uvuvi zinawezekana mje mpewe mikopo mfanye kazi za namna hii.”Amesema Maha

Aidha Maha amefafanua kuwa vikundi vyote viwili vinafanya kazi katika mtaa wa Igalagala ndani ya kata ya Sangabuye,kila kikundi kina kizimba cha samaki wake ambapo kila kizimba kina takribani ya jumla ya samaki 36,000 ambapo kwa ujumla vikundi hivyo vina jumla ya samaki 72,000.

Nae Afisa vijana wa Manispaa ya Ilemela Bi.Lucy Nicholaus Matemba amesema vikundi hivyo vilipewa jumla ya shilingi za kitanzania 91,880,000 ya asilimia 10 mnamo mwezi Aprili ,2022.

Baraka Buhegu ni mwenyekiti wa kikundi cha CATFISH yeye anatoa shukrani kwa Halmashauri kwa kuwaamini na kutoa kiasi hicho cha fedha kwa wao kufanya ufugaji wa vizimba vya samaki.

“Leo tunavuna samaki 3,000 ambao tunatarajia kuuza shilingi 5,000 kwa kila samaki matarajio yetu ni kupata jumla ya shilingi milioni 15 na baadhi ya wateja tayari tunao.Tunazidi kuwakaribisha kununua samaki wetu wa viwango kwani ndo tumeanza uvunaji.”Amesema Baraka.

 

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.