• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Utumishi na Utawala
        • Mipango na ufuatiliaji
        • Kilimo, Ufugaji na Uvuvi
        • Maendeleo ya Jamii
        • Elimu Sekondari
        • Elimu ya Awali na Msingi
        • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
        • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Miundombinu na Uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Vitengo
        • Mazingira na Usafishaji
        • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
        • Michezo, Utamaduni na Sanaa
        • Fedha na Uhasibu
        • Sheria
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Manunuzi
        • TEHAMA na Takwimu
        • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MIKATABA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.49 YASAINIWA ILEMELA

Posted on: May 18th, 2023

Mikataba mitano (5) yenye thamani ya shilingi Bilioni 1.49 imesainiwa leo na Manispaa ya Ilemela kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Mhandisi Modest Joseph Apolinary, Mkurugenzi wa manispaa ya Ilemela amesema kuwa asilimia kubwa ya fedha inayotekeleza miradi hiyo ni fedha za mapato ya ndani ambayo ni takribani Bilioni 1.45 kwa miradi ya barabara sambamba na uchimbaji wa kisima na kiasi cha shilingi milioni 40.4 ni fedha kutoka serikali kuu kwa ajili ya ujenzi wa kichomea taka.


Mikataba hiyo iliyosainiwa ni kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya kuelekea hospitali mpya ya Wilaya yenye urefu wa km 1.5,ujenzi wa barabara kuingilia stendi ya daladala Nyamhongolo, barabara ya Igombe ziwani yenye urefu wa km 0.14,ujenzi wa kisima cha maji safi eneo la ofisi za makao makuu na ujenzi wa kichomea taka katika hospitali mpya ya Wilaya.


Nae Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilemela Mhe. Renatus Mulunga Akizungumza wakati hafla fupi ya kusaini mikataba hiyo amewataka wananchi kutoa ushirikiano kwa kuwa wamoja ili miradi hiyo iweze kukamilika kwa wakati na kwa ubora unaotakiwa ili kukabiliana na changamoto zinazowakabili wananchi


“Nimshukuru Rais Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan kwa fedha anazozitoa kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa yake pamoja na niwatake watumishi wa umma kuzisimamia na kuilinda ili tija inayotakiwa iweze kupatikana”, Amesema Mhe Mulunga


Kwa niaba ya wazabuni walioshinda zabuni hizo Bwana James Cyprian Siingwa ambae ni mwakilishi wa kampuni ya Engineering and Business Suport Investment Ltd iliyopata kazi ya kutekeleza mradi wa kichomea taka ameishukuru Serikali kwa kutoa fedha za utekelezaji wa miradi hiyo na kuwahakikishia wananchi kuwa kazi waliyopewa wataikamilisha kwa wakati na kwa ubora unaotakiwa.


PICHA ZA MATUKIO YA KUSAINI MIKATABA 



Announcements

  • TANGAZO LA BODI YA MFUKO WA ELIMU July 20, 2023
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA MANISPAA YA ILEMELA July 13, 2023
  • TANGAZO KWA UMMA KUKUMBUSHWA KULIPA VIWANJA June 23, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA AFISA MTENDAJI WA MTAA (II) June 20, 2023
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RC MAKALLA AWATAKA WATENDAJI KUTATUA KERO ZA WANANCHI

    September 19, 2023
  • GESI NISHATI MBADALA RAFIKI WA MAZINGIRA: MHE MABULA

    September 16, 2023
  • WANANCHI WA ILEMELA WAMETAKIWA KUFANYA USAFI KUWA AJENDA YA KUDUMU

    September 16, 2023
  • RC MAKALLA AIPONGEZA ILEMELA UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST

    September 14, 2023
  • Tazama zaidi

Video

WITO WATOLEWA KWA WANAFUNZI WALIORIPOTI KIDATO CHA TANO SHULE ZA ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Kuhakiki Taarifa za Mpiga Kura
  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip
  • Maombi ya leseni ya biashara

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.