• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MIKATABA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.49 YASAINIWA ILEMELA

Posted on: May 18th, 2023

Mikataba mitano (5) yenye thamani ya shilingi Bilioni 1.49 imesainiwa leo na Manispaa ya Ilemela kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Mhandisi Modest Joseph Apolinary, Mkurugenzi wa manispaa ya Ilemela amesema kuwa asilimia kubwa ya fedha inayotekeleza miradi hiyo ni fedha za mapato ya ndani ambayo ni takribani Bilioni 1.45 kwa miradi ya barabara sambamba na uchimbaji wa kisima na kiasi cha shilingi milioni 40.4 ni fedha kutoka serikali kuu kwa ajili ya ujenzi wa kichomea taka.


Mikataba hiyo iliyosainiwa ni kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya kuelekea hospitali mpya ya Wilaya yenye urefu wa km 1.5,ujenzi wa barabara kuingilia stendi ya daladala Nyamhongolo, barabara ya Igombe ziwani yenye urefu wa km 0.14,ujenzi wa kisima cha maji safi eneo la ofisi za makao makuu na ujenzi wa kichomea taka katika hospitali mpya ya Wilaya.


Nae Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilemela Mhe. Renatus Mulunga Akizungumza wakati hafla fupi ya kusaini mikataba hiyo amewataka wananchi kutoa ushirikiano kwa kuwa wamoja ili miradi hiyo iweze kukamilika kwa wakati na kwa ubora unaotakiwa ili kukabiliana na changamoto zinazowakabili wananchi


“Nimshukuru Rais Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan kwa fedha anazozitoa kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa yake pamoja na niwatake watumishi wa umma kuzisimamia na kuilinda ili tija inayotakiwa iweze kupatikana”, Amesema Mhe Mulunga


Kwa niaba ya wazabuni walioshinda zabuni hizo Bwana James Cyprian Siingwa ambae ni mwakilishi wa kampuni ya Engineering and Business Suport Investment Ltd iliyopata kazi ya kutekeleza mradi wa kichomea taka ameishukuru Serikali kwa kutoa fedha za utekelezaji wa miradi hiyo na kuwahakikishia wananchi kuwa kazi waliyopewa wataikamilisha kwa wakati na kwa ubora unaotakiwa.


PICHA ZA MATUKIO YA KUSAINI MIKATABA 



Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.